RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

RC Gambo ameikosea Mamlaka, aondolewe haraka

Unanifurahisha unavyo malizia tu. Bastora ya nini...
 
Ndani ya Sheikh Amri Abeid Arusha. Kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya basi dogo. Watu 35 wakiwemo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva 1 wa Shule ya Lucky Vicent.

Nilikuwa Jukwaa kuu. Karibu na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. Muda wa salamu za rambirambi ukafika. Wakuu wa kiserikali na kisiasa wakawa wanakaribishwa. Mkaribishaji ni RC Mrisho Gambo wa Arusha. Mwenyeji

Wasaidizi wa Mama Samia wakapata ujumbe mfupi kutoka kwa Mbowe. Wakamletea Mama Samia. Mama Samia akamuagiza mmojawapo amuite RC Gambo ili amuagize jambo. Jambo muhimu la kisiasa na kiserikali. Amri

Mama Samia,Gambo alipokuja, akamuagiza Gambo awaongeze Mbunge Lema na Meya Lazaro kwa watoa salamu za rambirambi. Wakati huo,mzungumzaji alikuwa Ndugu Simbachawene. RC Gambo akatikisa kichwa kumkatalia Mama Samia. Akina Lema hawakuongezwa

Amri ikakataliwa. Mamlaka ikakosewa. Kinachotakiwa sasa ni kumuondoa Gambo kwakuwa Makamu wa Rais,kama taasisi ya pili ya juu nchini,lazima alindiwe heshima yake. Who is RC!?

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Mkuu kama kawaida yako huwa humung'unyi maneno nami lazima nikupongeze bila unafiki hongera sana kwa kuwa the real GT
 
Hapo ndipo utapojua kuwa ile ilikuwa huzuni fake toka kule tweeter.
 
Hapa naona fito zikigombewa, ili hali JK, yeye alisema tunajenga nyumba moja tusigombanie fito "
 
Hawa watoto BASHITE na Gambo wanamdharau sana mama Samia Suluhu.
Hamna marefu yasio na ncha
Yaani uongozi wa juu katika jamhuri yetu uko hivi,, Rais ni huyo huyo, anayefuatia hapo ni Bashite, akitoka huyo anakuja Gambo-shi baada ya hao ndo akina Samia na Majaliwa wanafuatia. Hivi unaanzaanzaje kwanza kumgomea Makamu wa Rais kwa mfano? Huyu si ni Rais anayesubiri? Hivi leo hii kama Rais hayupo makamu si ndo anashika mahali pake? Haya bwana yetu macho, ngoja Magu awapoteze!!
 
Nonsense. Mwenye akikli timamu hawezi kukubali Lema aongee hadharani mbele wageni wenye heshima zao.Heshima mbovu aliyoonywsha wakati wa kufungua mradi ule Arusha mbele ya wageni hatujasahau.Yaani huyu bwana Lema kukiwa na wageni anatakiwa afungwe kamba shingoni kisha afungwe kwenye mti mpaka wageni waondoke ndipo afunguliwe
Kuna wakati hata kichaa hujion ana akili kuliko wazima nadhani na wewe ndivyo ulivyo ,kwa wenye akioi timamu wanaijua busara ya lema na sio chuki na nguvu za kupuuzi za hao wengine
 
Wehu kama ninyi mnatakiwa kuchapwa bakora, mnalilia kuuza sura misibani wakati tunatakiwa kujadili namna yakupambana na ajali hizi
 
Ndani ya Sheikh Amri Abeid Arusha. Kuaga miili ya waliofariki kwenye ajali ya basi dogo. Watu 35 wakiwemo wanafunzi 32, walimu 2 na dereva 1 wa Shule ya Lucky Vicent.

Nilikuwa Jukwaa kuu. Karibu na Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan. Muda wa salamu za rambirambi ukafika. Wakuu wa kiserikali na kisiasa wakawa wanakaribishwa. Mkaribishaji ni RC Mrisho Gambo wa Arusha. Mwenyeji

Wasaidizi wa Mama Samia wakapata ujumbe mfupi kutoka kwa Mbowe. Wakamletea Mama Samia. Mama Samia akamuagiza mmojawapo amuite RC Gambo ili amuagize jambo. Jambo muhimu la kisiasa na kiserikali. Amri

Mama Samia,Gambo alipokuja, akamuagiza Gambo awaongeze Mbunge Lema na Meya Lazaro kwa watoa salamu za rambirambi. Wakati huo,mzungumzaji alikuwa Ndugu Simbachawene. RC Gambo akatikisa kichwa kumkatalia Mama Samia. Akina Lema hawakuongezwa

Amri ikakataliwa. Mamlaka ikakosewa. Kinachotakiwa sasa ni kumuondoa Gambo kwakuwa Makamu wa Rais,kama taasisi ya pili ya juu nchini,lazima alindiwe heshima yake. Who is RC!?

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)

Bastola ya nini tena jamani!!!"In Nape Voice"
Gambo na Bashite baba yao ni Moja "Sizonje"
Imefikia vijana hawa hawamheshimu Mtu yeyote isipokuwa Sizonje tu!!! Hili ni bomu linalosubili kuwalipukia Sizonje na team yake, ipo siku watamgomea hata yeye!!!
Aha Bastola ya nini tena jamani!!!!
 
Mimi namshauri Mama Samia, siku sizonje akienda ka safari kama Kenya, Uganda au Rwanda (maana ndio nchi zake za ziara) ebu mwondoshe gambo kwenye ukuu wa mkoa na kumuweka mtu mwingine tuone kama sizonje akirudi atamrudishia huo ukuu wa mkoa!!
 
Kuna wateule Fulani kwenye mamlaka zinazogusa uteule kutoka kwa mheshimiwa Fulani hata wakifanya jambo la hovyo litakaloishangaza dunia linalikinzana na utu,miiko ya uongozi,utawala bora na wa sheria,ubinadamu nk .Bado tu wataonekana ni weledi ktk kazi.Kwahiyo wala msishangae ila inashangaza kumnyima nafasi MBUNGE na MEYA si UUNGWANA hata kidogo!Najiuliza malaika wale 33 hivi ni kweli wapendwa wao hawakuhitaji kweli kusikia japo neno moja kutoka kwa mwakilishi wao wa chombo cha kutunga sheria?Uzuri ile ni Arusha(Geneva ya Afrika) wenye nayo wanaongea kwa matendo.
 
Ramli chonganishi hii
Bavicha bana,wewe ulimsikia wakati anamuelekeza Mrisho amuingize Lema?Je kama ndio alikuwa anaelekeza Lema asiongee?
Halafu sio lazima Lema aongee,Mbowe bosi wake ameshaongea inatosha kabisa.
Chadema acheni kutafuta kiki kupitia misiba

kiki wameforce ccm badala yake wamejipaka tope ... Kwa mwelewa lazima akemee upuzi uliofanywa ili siku ningine usijeleta vurugu badala ya kuwafariji wafiwa mkaanza kuwapiga virungu na mabovu fikil kidogo tu kama lema angeujibu upumbavu kwa upumvavu mf. Angesimama na kulazimisha kuongea nn kingetokea?

Siku ikitokea mkusanyiko wa kitaifa mbeya mkamzuia rais wa mbet [HASHTAG]#Sugu[/HASHTAG] asiongee muandae vifaru vya jeshi maana defender za police hazitoshi
 
...hayajawafika wao na wawapendao..hivyo haiwaumi....waacheni iko siku Mungu atawaonyesha....na majanga yao watu wataamua wayashiriki ama waache....waacheni waendeleze siasa na ubaguzi hadi kwenye misiba...iko siku wao itawahusu.....Mungu huyu ni mkubwa sana kuliko wao....wala msilaumu...iko siku wataumbuka sana...na watabaguliwa wao...na mkuu wao wanayemtukuza hatakuwepo kuwatetea...ni suala la mda tu....
 
Lema hakuonekana hapo kabla kuwatembelea wafiwa
lema hakuonekana akiwatembelea majeruhi
Ila wakwanza kuomba aongee yeye msibani kuliko kiongozi wake Mbowe!!
Mtatafuta kiki mpaka Kuzimu ninyi maana sio bure ni kulaaniwa huku
Anayetafuta kiki ni RC Gambo chief, kama yeye hatafuti kiki kwanini hakumpa Lema mic ili tumtofautishe na wengine.........kwa kufanya hivyo wananchi wangeamua......na hii sio Mara ya kwanza, tumeona wakija viongozi mbalimbali Dar es Salaam, hata kumtambulisha Meya CCM wanaona kama wanampa tiketi ya peponi, hakuna kitu mutaongea khs hili jamii ikawaelewa.........jitafakarini upya.
 
Wati wa kuupuuza gao. Mlijuaje kwamba alimulazimisha kufanya hivo? Kama alimuuliza nae akaitika kwa kukataa jambo alilo ulizwa..ndo mnaconclude kakataa amli?
Nyau wa bluu kabisa nyie

Mnakuza mambo msiokuwa na uhakika nayo.
 
Back
Top Bottom