Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,551
Mzee kikongwe umekuja kwa speed ukajua wazee wenzio watakusapotiHuo mwonekano wa kijana huyo picha ya kwanza duh!!!.
Mzee kikongwe umekuja kwa speed ukajua wazee wenzio watakusapotiHuo mwonekano wa kijana huyo picha ya kwanza duh!!!.
HahahaaaaaaaWee weka heshima kwa King Mufasa
Rayvanny yupo mbele ya muda, yani kuna wimbo wake unaweza usikia leo alafu kama boya utauelewa keshokutwa.Wachache watakuelewa boss , kimsingi Rayvanny ndo msanii hapa bongo , hata Mond anajua , huyo mwamba ni full package sjutii kuwa shabiki wake kindakindaki ..... Jamaa next level
Watu wanaojikuta wanayajua maadili hao unakuta maisha yao yakuunga unga tu na maadili yaoMzee kikongwe umekuja kwa speed ukajua wazee wenzio watakusapoti
Don't hate, get inspired.Akili huna
Akikujibu nitag.Kwahiyo Umetafuta woote wakumfananisha nae Ukampata Ngwear.
Kuna wimbo wowote wa Rayvan Ukipigwa then Ukakatwa uwekwe wa Ngwear watu wakasema Toaaaah? Vipi kinyume chake?
Hakuna data watakupa alaafu huyo kashafariki tunatunza Heshima hapa ya misamiati ya staha ila kimziki ni utopolo.Wanaopinga huu ukweli ndo walete Ushahidi wa wasanii wao wanaoamin wanamzidi Vannboy a.k.a Mme wa Paula ..... Sometyme twende Kwa data
Nyie huwa mnajali hayo? Kila anayekosana na bosi wenu anageuka kuwa adui siku si nyingi atajitoa huyu utarudi kumtukana hapa tupo na teknoloj haiongopiRayvanny talent yake haijifichi hata ukiwa na chuki na Wasafi huwezi pingana na uwezo alionao Vanny Bwoy.
Kwa nin ukosane na boss wako , ? Kwa nin usitoke Kwa Amani ?? Rayvanny hawezi kufanya huo ujinga , anatambua msaada wa boss wake , na ataondoka Kwa Amani na baracka zote na still atakuwa na share WCB , sio hao wajinga waliokarbishwa na bado wakaondka Kwa matusi na kejeli + dharau , wakanyea kambi ...wacha wale jeuri Yao , tunatambua mafanikio ya mtu hupangwa na Mwenyezi Mungu , hata hvyo Mungu huyo huyo anahtaji tuwathamini wale ambao aliwatumia ili tupate mafanikio......Nyie huwa mnajali hayo? Kila anayekosana na bosi wenu anageuka kuwa adui siku si nyingi atajitoa huyu utarudi kumtukana hapa tupo na teknoloj haiongopi
Nilijua lazima nikukute hapa😆😆😆 kiukweli mm vanny ndo kafanya kidg nianze kuwafuatilia dabulisibi😁😁 Vanny namkubal sana na nampaisha sanaaaaaWachache watakuelewa boss , kimsingi Rayvanny ndo msanii hapa bongo , hata Mond anajua , huyo mwamba ni full package sjutii kuwa shabiki wake kindakindaki ..... Jamaa next level
Atakuja amechafukwa ukigusia mambo ya v money😆😆😆 ila mm tz nzima kama siyo dunia yote msani wang wa kwanza n vanny boi, chui, mtu mbayaaaaa😁😁😁 anaftwata fireboy, hao wengine kwangu ni wakawaida sanaaaa😆😆Vanny boy fundi .....!! 😋 sjui cocastic anasemeaje hili