Wadau me Naleta hoja kwenu, kuna watu naona wanaleta list tofauti za wana hiphop kila mtu na mtazamo wake anavyoona yeye, lakini kinachonichanganya kuna baadhi ya watu wanasema kuwa Ngwair alikuwa ni zaidi ya Fid Q kitu ambacho kwangu sijawahi kukubaliana nacho. Maana kwa mtazamo wangu sidhani...
Nataka tumzungumzie kidogo huyu fundi muziki kutoka WCB yaani Rayvanny aka Chui.
Rayvanny ni msanii anaeujua muziki haswa na anaweza kuufanya muziki vile anavyotaka. Kipaji chake sio cha nchi hii naweza kusema yupo mbele ya wakati.
Anaweza kufanya aina mbali mbali za muziki na akaua.
Anaweza...
APRILI 8, 2012, ilikuwa Pasaka. Wakati huo nilikuwa Mhariri Mwandamizi wa magazeti ya Global Publishers LTD, vilevile Mratibu Mkuu wa Matukio wa kampuni. Na kwa nafasi hiyo, pia nilikuwa Mwandaaji Mkuu wa matukio kwenye ukumbi wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem.
Kipindi hicho, Dar Live...
Safari ya Mwisho ya Albert Mangwea (RIP) katika picha
Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Addo Novemba kushoto akijadiliana jambo na viongozi wa Kamati ya Mazishi katika shughuli yaa kumuaga marehemu Albert Mangwea, katika viwanja vya Leaders Club leo.
Wasanii wanaaga
Mbunge Idd...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.