Rasmi nimeachana na mapenzi

Rasmi nimeachana na mapenzi

Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Nipe namba yako tafadhali
 
Sisi walokole tunaovaa mabwanga tukiwatongoza mnatubwaga puuuu
Mnawapa tamu mabishooo 😅😅

Haya sasa upwiru huo sjui atautoa nani
Na mm sitaki tena tamu yako nishapata single mothers apa reject tunasaidiana maisha😁😁
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Kwaiyo Mbususu unaipiga kufuli Rasmi
 
(1)akiba hua haiozi(usirudie)

(2)wahenga tumeinjoy sana ,hivi ile nyimbo ya kidumu aliimba nani mkumbukao
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Mimi naye yamenitokea kama yako. Kwakuwa sote ni wahanga wa incidents zinazofanana, basi nakuomba tuanze fresh pamoja, you and I we become together as one. Unaona vipi Binti Sayuni03 I will cherish you, hatutaumizana Kwa hakika maana sote tu wahanga.
 
haya maamuzi ni magumu sana kufanya bado hujapata maaction yakukufanya ukinai mapenzi,keep on exploring
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom