Rasmi nimeachana na mapenzi

Rasmi nimeachana na mapenzi

Nadhani hakuwa wangu huyu Mungu atanipa mume mwema
Kabisa! Watu wengi hawajui hiki, Mungu akikupa Mume au Mke mtajikuta mnafanikiwa maisha yanakwenda, mnaeshimiana na kupendana hadi watu wanakua wanawashanga!
Ukishaona vita kila kukicha hapo kimbia!
 
Nlichojifunza kwenye mspenzi ukitaka kufokas sana unafeli, yachukulie kswaida. Kwako wewe naona ulikuwa unapiga mizinga sana. Hakunawansume anakaa kwenye mahusiano ya namna hiyo. Akikukula tu anaanza kukukataa, dont exchange sex for money, hata mm huwa sikai hapo
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Masturbation itaua vijana wetu
 
Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.

Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.

Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.

Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Jimbo liko wazi??
 
Kabisa! Watu wengi hawajui hiki, Mungu akikupa Mume au Mke mtajikuta mnafanikiwa maisha yanakwenda, mnaeshimiana na kupendana hadi watu wanakua wanawashanga!
Ukishaona vita kila kukicha hapo kimbia!
Hakika mkuu wacha nisonge mbele
 
Nlichojifunza kwenye mspenzi ukitaka kufokas sana unafeli, yachukulie kswaida. Kwako wewe naona ulikuwa unapiga mizinga sana. Hakunawansume anakaa kwenye mahusiano ya namna hiyo. Akikukula tu anaanza kukukataa, dont exchange sex for money, hata mm huwa sikai hapo
Siyo kweli mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom