kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
- Thread starter
- #21
Asante sana mkuuMbona haraka sana mkuu pole
Asante sana mkuuMbona haraka sana mkuu pole
Try self-love.Nina huzuni ujue😫😫
Itabidi nijikite huko mkuuUnaacha mapenzi unaanza kujishughulisha na kilimo?
Asante sana mkuu nitaanza kuifanyia kazi hiyo soon as possibleTry self-love.
While waiting for the right person have fun with the wrong one.
acha kusikia njoo ujionee niko pekeyangu 😀Wew nasikia una wengi
Haiwezekani maisha yanipe stress na mtu pia anipe stress hapanaPiga chini chaap, fanya mambo mengine.
Kuna maisha nje ya mapenzi. Ishi humo dear.
Kivipi jamaniHapa bila VAR hatutoboi
kwanini unakosea Kila siku?akili huna au?Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.
Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.
Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.
Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Akhuuu😔😔acha kusikia njoo ujionee niko pekeyangu 😀
Mapenzi huwa hayashauriki hapo akipigwa busu la shingo tu. Unajiona mjinga.. 😂Piga chini chaap, fanya mambo mengine.
Kuna maisha nje ya mapenzi. Ishi humo dear.
Utaishia kujiuza tu.Ninasikitika ninapoandika haya lakini sina jinsi ndiyo imeshatokea.
Nilipompata huyu mwanaume niliamua kutulia hata namba sikuwa natoa kwa wanaume wengine lakini mwenzangu naona anapenda vita kuliko amani.
Nimejaribu kuvumilia na kujishusha vya kutosha but this is too much mimi ntakuwa wa kuomba msamaha kila siku kwa vitu vidogo ambavyo vinaongeleka, hapana.
Rasmi ninaachana na mapenzi kwa sasa, asanteni🥲😢
Hakuna binadamu aliyekamilika mkuukwanini unakosea Kila siku?akili huna au?
sisi wanaume makini hatupendi mtu anae kosea kosea Kila mara
Shindwa pepoUtaishia kujiuza tu.
kwani unafanya makosa gani?😦Hakuna binadamu aliyekamilika mkuu
Hapana mkuu siko sawaNaomba nije PM kwako?
Huoni kama umezidi kisiginoKivipi jamani