Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,499
- 151,722
Wewe ulienda? Kama ulienda kwa nini hukubeba bendera?
Kama hukuenda, utategemeaje mtu mwingine aende na kufanya unachotaka wewe? Ulikubaliana na nani?
Huu si ndio ubwanyenye wenyewe huu? Bendera utake ipeperushwe wewe, kubeba abebe mwingine.
Enzi za utumwa na manamba jinsi hiyo zimepita.
Kama unapenda sana kuona bendera toa tenda, tangaza kidau, tiketi na viza juu, per diem na makolokolo, wadau watachangamkia dili.
Usitake ku assume assume tu kwamba wabongo walikuwepo pale, au wanataka kujulikana kama wabongo, ama wanaipenda nchi yao, ama wana hela ya kununua bendera, ama hata wangetaka bendera inapatikana kila kona.
Zaidi ya yote, ukitaka kitu kifanye. Usingoje kufanyiwa na mwingine.
Nyerere hajafundisha Kujitegemea?
My bad, alijicontradict alipoweka pamoja "Ujamaa na Kujitegemea".
Mpaka leo watu bado wanataka kufanyiwa mambo na serikali, na wananchi wenzao, na mtu yeyote yule kasoro kufanya wao wenyewe.
Kama hukuenda, utategemeaje mtu mwingine aende na kufanya unachotaka wewe? Ulikubaliana na nani?
Huu si ndio ubwanyenye wenyewe huu? Bendera utake ipeperushwe wewe, kubeba abebe mwingine.
Enzi za utumwa na manamba jinsi hiyo zimepita.
Kama unapenda sana kuona bendera toa tenda, tangaza kidau, tiketi na viza juu, per diem na makolokolo, wadau watachangamkia dili.
Usitake ku assume assume tu kwamba wabongo walikuwepo pale, au wanataka kujulikana kama wabongo, ama wanaipenda nchi yao, ama wana hela ya kununua bendera, ama hata wangetaka bendera inapatikana kila kona.
Zaidi ya yote, ukitaka kitu kifanye. Usingoje kufanyiwa na mwingine.
Nyerere hajafundisha Kujitegemea?
My bad, alijicontradict alipoweka pamoja "Ujamaa na Kujitegemea".
Mpaka leo watu bado wanataka kufanyiwa mambo na serikali, na wananchi wenzao, na mtu yeyote yule kasoro kufanya wao wenyewe.