Uzalendo umekwisha. Leo hii angalia shule za msingi nyingi ni za binafsi (English Academy) hakuna mchakamchaka, mambo mengi ni ya mataifa ya ulaya tu, unategemea kutakuwa na uzalendo? Yani Tanzania majanga sana.
Nilikuwa namuuliza mtoto mmoja bendera ya Taifa ina rangi ngapi na zina maana gani hajui wala haelewi sasa haya mambo sisi tulianza kufundishwa mapema sana then nyimbo za Tazama Ramani,Tanzania Tanzania ni nyimbo zilizokuw zinaonyesha uzalendo