Ndugu msomaji husika na kichwa hapo juu. Tumezoea kuona bendera ya Taifa ikipandishwa asubuhi na kushushwa jioni kila siku. Hivi kuna mantiki gani ya kupandisha na kushusha bendera kila siku? Je, kupandisha bendera asubuhi kunaimanisha kwamba Taifa na Serikali yake limeamka kutoka usingizini? Je, kushusha bendera kila jioni kunaimanisha SERIKALI inaenda kusinzia? Ni masuala ambayo huwa najiuliza nashindwa kuelewa.
Ndugu msomaji husika na kichwa hapo juu. Tumezoea kuona bendera ya Taifa ikipandishwa asubuhi na kushushwa jioni kila siku. Hivi kuna mantiki gani ya kupandisha na kushusha bendera kila siku? Je, kupandisha bendera asubuhi kunaimanisha kwamba Taifa na Serikali yake limeamka kutoka usingizini? Je, kushusha bendera kila jioni kunaimanisha SERIKALI inaenda kusinzia? Ni masuala ambayo huwa najiuliza nashindwa kuelewa.
Kwani mataifa mengine huwa hayashushi bendera?, kwa mfano bwana wetu Uingereza?
andrewk unamaanisha Baraza la Mawaziri halikutani zaidi ya saa 12 jioni?nachojua, serikali inafanya kazi kwa masaaa, hivyo kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi 12:00 serilali inakuwa kazini....baada ya hapo serikali ipo kazini kwa dharura tu, ila maamuzi yanafanyika kipindi cha mchana, ..... ndio maana yake
Wakati wa usiku serikali inakuwa usingizini na mida yote serikali ikiwa usingizini Jeshi hutawala nyakati za usiku, na wakati wa asubuhi serikali inaamka mpaka 12 jioni. Muda wote wa usiku jeshi ndo lenye nguvu na ndio hutawala na wakati huo bendara zote zinatakiwa kushushwa na kubaki bendera ya JESHI.Usiulize sana mambo haya.Ndugu msomaji husika na kichwa hapo juu. Tumezoea kuona bendera ya Taifa ikipandishwa asubuhi na kushushwa jioni kila siku. Hivi kuna mantiki gani ya kupandisha na kushusha bendera kila siku? Je, kupandisha bendera asubuhi kunaimanisha kwamba Taifa na Serikali yake limeamka kutoka usingizini? Je, kushusha bendera kila jioni kunaimanisha SERIKALI inaenda kusinzia? Ni masuala ambayo huwa najiuliza nashindwa kuelewa.
huu uzi ungeenda intelliigence unafaa sana.. hii mambo ni ukoloni tu hamna sababu yoyote zaidi ya ukoloni
Wakati wa usiku serikali inakuwa usingizini na mida yote serikali ikiwa usingizini Jeshi hutawala nyakati za usiku, na wakati wa asubuhi serikali inaamka mpaka 12 jioni. Muda wote wa usiku jeshi ndo lenye nguvu na ndio hutawala na wakati huo bendara zote zinatakiwa kushushwa na kubaki bendera ya JESHI.Usiulize sana mambo haya.
Kwa kawaida na kwa macho muda mchana serikali huwa kazini. Inapotimia saa nne usiku nchi inakuwa rasmi chini ya mkuu majeshi kwa ulinzi kamili. Wakati huo serikali inakuwa usingizini au iko bar au dansini.
nachojua, serikali inafanya kazi kwa masaaa, hivyo kuanzia saa 12:00 asubuhi hadi 12:00 serilali inakuwa kazini....baada ya hapo serikali ipo kazini kwa dharura tu, ila maamuzi yanafanyika kipindi cha mchana, ..... ndio maana yake