Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

Rangi za bendera ni ujumbe, uzalendo au urembo?

Jamani kama kuna yeyote anafahu vilipo vitabu vifuatavyo anijulishe;Wagagagigigogo,Bulicheka,Hawara ya fedha,Mabala the farmer na cha Abunuaso
 
Ni huko Rorya.

Ameenda mahakama ya wilaya,akaishusha bendera ya Taifa.

Akaenda nayo kwake na kwenda kuifanya Shuka!

Amekamatwa na sasa yupo Lupango.

Chanzo: RFA _Matukio.

Jamaa alikuwa na msala hapo mahakamani,akapewa dhamana.

Wakati anatoka ndo akasepa na bendera, Wakamkuta naye getto amejifunika.

Dhamana imefutwa na sasa yupo nyuma ya nondo
 
Utetezi upo wazi.
1.Ni muda gani alishusha hiyo bendera? Kwa utaratibu bendera saa 12 jioni inatakiwa ishushwe. Kama alishusha zaidi ya muda huo hana makosa na pia ameonyesha uzalendo wake kujifunika bendera ya Taifa lake.
 
Ni huko Rolya.

Ameenda mahakama ya wilaya,akaishusha bendera ya Taifa.

Akaenda nayo kwake na kwenda kuifanya Shuka!

Amekamatwa na sasa yupo Lupango.

Chanzo:RFA _Matukio.



Jamani hivi Mtikila ni Member humu aweze kumsaidia huyu Bwana au Mhe. Lissu.

Maana kusema kweli Katiba imekwishavunjika Kitambo na hivyo ndiyo kusema hakuna JMT (Utaifa wa JMT) na inafaa Tanganyika ipandishe Bendera yake!

Wanasheria waliomo humu JF ebu mwageni data!
 
Kujifunika bendera si kosa kisheria.
Kosa lake labda kama aliishusha kabla ya muda saa 12.00 jioni.
 
Mimi niona kadri siku zinavyokwenda watanzania wengi tumevurugwa, na machizi wanazidi kuongezeka tu sema tunatofautiana.
 
Nchi nzima bendera ya taifa ikipandishwa ama kushushwa lazima tuheshimu kwa kusimama.lakini bungeni kuna zuria la bendera ya taifa kwenye korido za bunge letu ambapo hutumiwa na kukanyagwa na wabunge wanapoingia na kutoka bungeni.je huu ni uzalendo ama?wachangiaji toeni mfano wa nchi ambazo zima mazulia ya bendera zao yametandazwa chini bungeni ama popote na yanakanyagwa.cheki hata zanzibar,kenya,uganda na usa. n.k.
 
Mwigulu Nchemba kujifunika bendera ruksa, lakini wengine marufuku, eti?
 
Badala ya kushukuru kuwa angalau, katika Tanzania kuna mzalendo mmoja.
Ambaye anadiriki hata kujifunika na hiyo bendera, hebu wamtangaze kama mzalendo huko.
 
Afadhali yake kuliko wabunge wanaoikanyaga pale bungeni.
 
Mbona Mwigulu anaivaa shingoni na mijasho yake!!
20140319_173447.jpg
 
Hao ndo watz wanaotakiwa! Ngoja niende kushusha ya ofisi ya raisi nikajifunike
 
Badala ya kushukuru kuwa angalau, katika Tanzania kuna mzalendo mmoja.
Ambaye anadiriki hata kujifunika na hiyo bendera, hebu wamtangaze kama mzalendo huko.

Mkuu. Unaonaeee! Hizo ni swaga tu za uzalendo, hebu wampe nishani iliyotukuka ya uzalendo hapo tarehe 26 Aprili 2014.
 
Huyu jamaa aombe muungana uvunjike,zanzibar ikijiunga na umoja wa falme za kiarabu,hatokuwa na kesi ya kujibu
 
Sasa si kajifunika bendera ya nchi yake jamani?
kaonyesha kuipenda nchi yake kwa ufupi ni mzalendo wa ukweli
 
teh teh teh kuna jamaa aliniambia yeye siku ya mwenge alipata mwanamke akachukua bendera ya taifa akatandika chini wakalala. nchi inavituko hii
 
IPO hivi...wakat wa asubuhi(SAA 12) had join (saa12). Nchi inaongozwa na rais kama raia. Wakat wa usiku nchi inaongozwa na Amir mkuu wa jeshi..Sema ktk nchi yetu amir mkuu wa jeshi ndio rais huyohuyo.
 
Back
Top Bottom