kwikwiwkwiiii mshushaji bendera anashangaa ngongingo za akina mama waliovaa kanga tu.
Na unakuta hata kama mama ni ngongingo lakini kiuno huwa kinaenda yaani waswahili sijui huwa wanaendaga course?
kwikwiwkwiiii mshushaji bendera anashangaa ngongingo za akina mama waliovaa kanga tu.
mimi pamoja na kusoma nilikosoma na zaidi ya nilivyosoma hapa mungu akinijalia zaidi na zaidi sitadharau mambo haya ya kunitambulisha utaifa wangu. na hata mila zisizo na madhara.
na nitawafundisha watoto wangu na nimesha nunua vitabu mbalimbali vinavyoeleza mambo mengi ya nchi yangu. pamoja na speech za mwalimu nyerere kwani naamini zina mafundisho mema kwa wenye kutafakari na kuelewa alichokuwa anamaanisha mzee yule. nitawaachia urithi huo kazi kwao wenyewe.
du nimeimagn ule mgandisho wa ngoma Kindi kindi ndi ndii.. huku bendera inashushwa..then mshushaji anasmile
hakuna cha uzalendo kaka, maisha yenyewe magumu ntaheshimuje bendera inayopepea juu?Tuache utani lakini ule ulikuwa uzalendo wa kipekee uko wapi siku hizi?sijui watoto wetu watajifunza nini...so vitabu vya siasa aka civics vitakuwa vimebadilishwa maana swali hilo lilikuwa halikosekani std III ...
kweli kabisa ndugu yangu sio kituo cha polisi pekee sehemu yoyote ile yenye bendera ya taifa ilikuwa ikipulizwa filimbi lazima usimame mpaka ishuke.kunajamaa yangu alishawahi kukutana na zahama ya kurushwa kichura nusu saa na mienyesho mingine kama kujiviringa kwenye vumbi toka kwa askari baada ya kukiuka(1996).Juzi nilipita mahali Bendera ya Taifa inashushwa...sasa mind yangu ikakumbuka haraka miaka ya zamani tulikatisha kituo cha polisi saa kumi na mbili wanashusha Bendera almanusura turushwe vichura kisa hatukusimama imeadiately....cha ajabu hii ya juzi naona hata polisi wenyewe wanaendelea na shughuli zao ndipo nimeamua kuuliza hii sheria imekuwa zilipendwa ama?
hakuna cha uzalendo kaka, maisha yenyewe magumu ntaheshimuje bendera inayopepea juu?
Mkuu, mimi nilikamatwa kwa ajili ya kutembea wakati bendera inashushwa. Ilikuwa ile siku ya mechi kati ya Tanzania na Ivory Cost. Walinikamata pale makao makuu ya Jeshi la Magereza Posta, pembezoni mwa Chuo cha IFM. Walinikomalia ili wanipige Pingu, wakaniuliza maswali mengi sana, umri wangu, elimu yangu, naishi wapi n.k ila niliwaomba msamaha mpaka wakanisamehe.
katiba imetoa uhuru wa kuabu tupo akina sisi hata kama tutakufa hatupo tayari kuabudu bendera ya serikali za wanadamuJuzi nilipita mahali Bendera ya Taifa inashushwa...sasa mind yangu ikakumbuka haraka miaka ya zamani tulikatisha kituo cha polisi saa kumi na mbili wanashusha Bendera almanusura turushwe vichura kisa hatukusimama imeadiately....cha ajabu hii ya juzi naona hata polisi wenyewe wanaendelea na shughuli zao ndipo nimeamua kuuliza hii sheria imekuwa zilipendwa ama?