Ikaria
Member
- Jul 17, 2019
- 74
- 203
Kamati ya Bunge la Marekani🇺🇲 kuhusu Mambo ya Nje imemuandikia barua Spika wa Bunge kuomba ridhaa yake ili Rais William Ruto ahutubie kikao cha pamoja cha Bunge hilo
Iwapo Mheshimiwa Spika atakubali, Rais William Ruto atakuwa :
• Kiongozi wa kwanza kutoka Kenya kuwahi kuhutubia Bunge la Marekani.
• Kiongozi wa pili kutoka Afrika kuhutubia Bunge hilo katika kipindi cha miaka 18 baada ya Rais mstaafu wa Liberia Ellen Johnson.
Rais William Ruto anatarajiwa kufanya Ziara ya Kiserikali nchini Marekani tarehe 23 Mei 2024.
Iwapo Mheshimiwa Spika atakubali, Rais William Ruto atakuwa :
• Kiongozi wa kwanza kutoka Kenya kuwahi kuhutubia Bunge la Marekani.
• Kiongozi wa pili kutoka Afrika kuhutubia Bunge hilo katika kipindi cha miaka 18 baada ya Rais mstaafu wa Liberia Ellen Johnson.
Rais William Ruto anatarajiwa kufanya Ziara ya Kiserikali nchini Marekani tarehe 23 Mei 2024.