AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,537
- 4,517
Nazungumza hili na wao wakakumabna na tunayokumbana nayo sisi, kutokana na maamuzi wanayofanya juu yetu.
Kwa sababu, kiuhalisia:- Rais hawezi kuhisi madhara ya kupanda kwa bei ya mafuta wala Waziri au Mbunge. Hawawezi kuona machungu ya kupanda kwa bei kunakosababishwa na kodi zao
Hivi ni lazima wao tu ndio wawe Viongozi? Kwani hawawezi kuacha huo wanaoita uongozi na wakawa kama sisi? Kwani wakiwa huku nchi hawezi kuishi bila wao? Mbona wanafanya kam vile bila wao hii nchi haiwezi kwenda?
Kwa sababu, kiuhalisia:- Rais hawezi kuhisi madhara ya kupanda kwa bei ya mafuta wala Waziri au Mbunge. Hawawezi kuona machungu ya kupanda kwa bei kunakosababishwa na kodi zao
Hivi ni lazima wao tu ndio wawe Viongozi? Kwani hawawezi kuacha huo wanaoita uongozi na wakawa kama sisi? Kwani wakiwa huku nchi hawezi kuishi bila wao? Mbona wanafanya kam vile bila wao hii nchi haiwezi kwenda?