Rais wa Zanzibar aagiza Meli zote za Serikali ziuzwe kwa vile hazileti faida

Inshort serikali haiwezi biashara.
Kuna serikali zinaweza, Bali shida hapa ni hii serikali ya CCM
Kwenye sehemu za taaluma wanaweka makada, makada wanaiba hadi shirila linakufa hakuna anayejali. Baada ya muda wanahamishiwa shirika lingine
Hakuna biashara mbaya, bali ni namna yaa kufanya hiyo biashara. Kwa serikali hizi za kichama hata anunue meli mpya kila siku bado ni kazi bure tu
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .

Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Sidhani kama zinauzika, meli ni mabovu tokea ziliponunuliwa
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .

Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Lengo ni upigaji tu
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .

Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Mkuu hiyo hasara inakuathiri vipi? unataka tupande punda au akina Sauli kwenda Kigoma au Mbeya na kwingineko, unadai hasara wakati hata kodi ulikuwa hulipi, yaani sasa umeanza kukatwa tozo ndio kelele kibao. Hata gaidi huwa anazipanda hizi ndege kwenda kwao Kishimundu
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .

Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Hapa ni ndege za kutembelea viongozi kwani mkuu hujui
 
Matakooo kama ya wana chichiemu yalivo makubwa pumbavu kabisa huyo haelewi kama zile ni binafsi na ukute ni chichiemu ndio vilaza kuwaza walishaishia mwisho
Abs that is where we fail as people

if you put ccm kichwani kwake muda wote lazima ufeli tu

we ni matako aisee
 
bro biashara zina figisu nyingi sana. na serikal inataka kila kitu kifuate utaratibu. hicho kitu kwenye biashara hakitakiwi.
Si kweli, tena hapo tunazungumzia mazoea. Hilo ni tatizo kubwa sana katika Tanzania na nchi nyingi za Afrika. Ni suala la serikali kutoa hizo figisu.

Yaani tuseme wewe unakiwanda kinachotoa bidhaa sawa na kiwanda changu. Wewe unalipa kodi zote, nami kwa ujanja wangu au kwa nafasi yangu serikalini silipi hata kodi moja. Si ajabu kwangu kuuza bidhaa nusu ya bei yako na nikapata faida kuliko wewe. Hapo tunaua kabisa biashara kama fani yenye weledi na ushindani.

Nikueleze ukweli. Tatizo la Afrika lipo hapo. Tusipojirekebisha tutatawaliwa daima. Asiyelipa kodi na kuendeleza FIGISU lazima ashughulikiwe na atolewe nje ya uwanja wa biashara, kwa vile anakiuka taratibu. Ndio maana Bakhresa alimpenda Magufuli.
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .

Cha kushangaza sasa ! serikali ya Muungano yenyewe inaendelea kununua ndege huku zikileta mabilioni ya Hasara hadi kamati ya bunge imepigwa na bumbuwazi ! Je lengo lao ni nini ?
Kama haina faida ni sahihi ikiuzwa. Hii haipishani sana na A-T-C-L ambayo tangu mwano ni bora lingeanishwa shirika jipya na lenye mpango mkakati chanya wa kibiashara.
 
Hata hapa serikali inatakiwa kuuza mali zake zote hata nyumba, mbuga za wanyama, mito, maziwa, shule na hata barabara zote muhimu.

Serikali haitakiwi kumiliki mali au biashara yeyote, kazi yake serikali ni kukusaya kodi tuu.
 
Haina wataalamu wa mambo ya biashara na ujuaji ambao hauhusiani na biashara mwingi sana.
Nakuunga moono, kwa kuwa hata makampuni makubwa kama Mohamed Enterprises au Bakhresa na makampuni yote makubwa yana mitaji ya makampuni mengine ya uwekezaji ya nje. Bado wamiliki wa hayo makampuni ni matajiri wakubwa.
 
Hussein Mwinyi ambaye ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ameagiza meli zote zinazomilikiwa na serikali hiyo ziuzwe kwa vile zinaleta hasara , ameagiza ziuzwe ili WAANZE UPYA .
Kabla ya kuuza atupe plan yenye cost na benefit analysis ya mradi wake wa 'WAANZE UPYA'. Hatutaki kuuziwa mbuzi kwenye gunia sisi, wazanzibar. Hata Royal Tour inatakiwa iwe na ushahidi wa kitakwimu kuwa tutapata faida kiasi gani.
 
Back
Top Bottom