Rais wa Cuba aongoza maandamano kuunga mkono Hamas. Waziri Mkuu wa Spain amwambia Netanyahu taifa la Palestina ni lazima liwepo

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,199
10,929
1700806030334.png

Rais Miguel akiongoza maandamano Havana kuwaunga mkono Hamas.

Katika hali ya mabadiliko ya haraka kufuatia mashambulizi ya Hamas ya Oktoba sana huko Cuba Rais wa nchi hiyo ameongoza maandamano ya maelfu ya raia wake katika kuwaunga mkono Hamas na harakati zao za kutetea haki ya kuishi kwenye ardhi zao.

Rais Miguel Díaz-Canel aliongoza maandamano kupitia barabara kuu ya katikati ya Havana kabla ya kupinda na kupita mbele ya ubalozi wa Marekani huku yeye na wenzakewakiwa wamevaa vilemba vya nembo za Kipalestina.

Kwa upande wake Waziri Mkuu wa Spain, Pedro Sanchez hapo juzi Novemba 22 amemtaka Waziri Mkuu mwenzake wa Israel, Netanyahu aweke akili yake sawa na kuachia taifa la Palestina liundwe.

Katika maelezo yake kwa Netanyahu alimpa mifano ya uzito wa kumaliza vikundi kama Hamas kwa njia ya vita. Akitolea mfano nchi ya Spain ilivyoshindwa kumaliza vita na vikundi vidogo kama vile Eta na Basque mpaka pale walipoamua kufanya makubaliano nao.

Maelezo hayo ya Sanchez yanaungwa mkono na ukweli kwamba mpaka kufikia kusitishwa kwa vita leo kwa siku nne Israel haikuweza kufikia lolote kati ya malengo yake ya kivita kiasi kwamba inasubiri kupatiwa mateka waliokuwa wanawatafuta lakini baada ya makubaliano na Hamas.

Netanyahu katika mazungumzo hayo na mgeni wake alimfungulia video ya mashambulizi ya Hamas ya Oktoba 7 akisema ni matukio mabaya sana. Hata hivyo Sanchez hakuonekana kushtushwa na video hiyo na akamwambia Netanyahu pamoja na haki ya Israel kujilinda lakini haina haki ya kuuwa watoto na akinamama namna ile iilvyo fanya kwa wapalestina wa Gaza na ukingo wa magharibi.

Euractive

 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
 
Basi Palestine wanapaswa kuidhihirishia dunia kwamba, Ugaidi si sehemu ya watu wao!
Ugaidi kupigania ardhi yao? Mbona hawaji huku bongo kufanya huo Ugaidi,, yani mmarekani akisema fulani gaidi basi na wewe unakubali bila hata kupima na akili yako,, shtuka dunia limebadilika si kila asemalo mmarekani ndilo,, rejea ktk ndoa za jinsia moja.
 
Ugaidi kupigania ardhi yao? Mbona hawaji huku bongo kufanya huo Ugaidi,, yani mmarekani akisema fulani gaidi basi na wewe unakubali bila hata kupima na akili yako,, shtuka dunia limebadilika si kila asemalo mmarekani ndilo,, rejea ktk ndoa za jinsia moja.
Ndoa za jinsia moja zinaendanaje na ugaidi tena mkuu!
 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
Na katika hiyo vita unayosema mwisho wa siku nani atakuwa mshindi ni Israel au si Israel?
 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
Wachambuzi wa kibongo bana😃
 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
kakojoe ukalale
 
View attachment 2822940
Rais Miguel akiongoza maandamano Havana kuwaunga mkono Hamas.

Katika hali ya mabadiliko ya haraka kufuatia mashambulizi ya Hamas ya Oktoba sana huko Cuba Rais wa nchi hiyo ameongoza maandamano ya maelfu ya raia wake katika kuwaunga mkono Hamas na harakati zao za kutetea haki ya kuishi kwenye ardhi zao.

Rais Miguel Díaz-Canel aliongoza maandamano kupitia barabara kuu ya katikati ya Havana kabla ya kupinda na kupita mbele ya ubalozi wa Marekani huku yeye na wenzakewakiwa wamevaa vilemba vya nembo za Kipalestina.

Kwa upande wake Waziri Mkuu wa Spain, Pedro Sanchez hapo juzi Novemba 22 amemtaka Waziri Mkuu mwenzake wa Israel, Netanyahu aweke akili yake sawa na kuachia taifa la Palestina liundwe.

Katika maelezo yake kwa Netanyahu alimpa mifano ya uzito wa kumaliza vikundi kama Hamas kwa njia ya vita. Akitolea mfano nchi ya Spain ilivyoshindwa kumaliza vita na vikundi vidogo kama vile Eta na Basque mpaka pale walipoamua kufanya makubaliano nao.

Maelezo hayo ya Sanchez yanaungwa mkono na ukweli kwamba mpaka kufikia kusitishwa kwa vita leo kwa siku nne Israel haikuweza kufikia lolote kati ya malengo yake ya kivita kiasi kwamba inasubiri kupatiwa mateka waliokuwa wanawatafuta lakini baada ya makubaliano na Hamas.

Netanyahu katika mazungumzo hayo na mgeni wake alimfungulia video ya mashambulizi ya Hamas ya Oktoba 7 akisema ni matukio mabaya sana. Hata hivyo Sanchez hakuonekana kushtushwa na video hiyo na akamwambia Netanyahu pamoja na haki ya Israel kujilinda lakini haina haki ya kuuwa watoto na akinamama namna ile iilvyo fanya kwa wapalestina wa Gaza na ukingo wa magharibi.

Euractive

Huyo Rais akapimwe mkojo
 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
Duhhhh!

Tuchambulie na mkataba wa bandari basi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto kubwa! Ni mji mkuu wa Yerusalem! Kama Wapalestina wangechana na madai ya Mji huo, huenda Israel ingekubali kuruhusu Taifa la Palestina liundwe!
 
Hiyo issue ya mashariki ya kati ni suala la muda tu WW3 itaanzia hapo, kwa vyobyote vile Israel hawatakubali kuwepo taifa la wapalestina na mjii mkuu wake uwe Jerusalem, ugomvi wa wayahudi na warabu siyo ardhi ni ugomvi wa kiimani na kikabila, hii issue ndo itaahana Dunia vipande 2, kinachosubuliwa ni USA, na Kuna rais ambaye atatokea USA ambaye atavunja mikataba yote ya Israel na USA, huyo ataungana na vyombo vya haki za binadamu kuilaumu Israel na kipindi hicho USA atakuwa ameshaanza kuporomoka, mataifa ya kiarabu yataishambulia Israeli yakipata back up ya nchi za China, Rusia, Iran na baadhi ya nchi za Ulaya na kwa kiburi Cha Israel atapambana nao tu lolote liwe na hapo 99% ya wayahudi waliko mataifa mbalimbali watakuwa wamesharudi Israeli baada ya kufukuzwa katika mataifa hayo.

Kwa hiyo tusubili vita mbaya sana, USA tayari ameshaporomoka sana, amebaki tu anajikaamua Ili nguvu zake zimeshaisha, ndo maana nchi kama Iran inaweza kuvamia maslahi ya USA lakini akaishia kukalipia tu, Iran anakili waziwazi Nina makombola ya kuipigia USA, na siku akijaribu nitamtwanga, Iran alishambulia jeshi za USA lakini USA aliufyata mkia, shambulizi lile angefanyiwa Rusia, Israel au Turkey angerudisha mapigo makubwa sana.
nimefurahi umeiona tabia ya kiburi cha Israel kujifanya anachotaka lazima kiwe na wengine wote hawana akili ya kuishauri kitu.
Huyo waziri mkuu wa Spain kwa kuwapa ukweli washamuwekea shondwe.
Huwa tunaandika sana habari za kiburi cha Israel ili watu waone jinsi itakavyoporomoka hatua kwa hatua kwa ajili ya hiyo tabia.
 
Back
Top Bottom