FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,213
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekiri kuwa vita vya Gaza vinawagharimu sana wakati idadi ya vifo vya wapiganaji wa IDF ikiongezeka katika ardhi ya Palestina iliyozingirwa. Matamshi ya Netanyahu yamekuja baada ya IDF kutangaza kwamba wanajeshi 14 wa Israel waliuawa mwishoni mwa wiki wakati wa mapigano huko Gaza. Netanyahu hata hivyo ameapa kuendelea na vita vya Gaza hadi pale Hamas itakapoondolewa.
Wapalestina wanaongeza mashambulizi:
Muono wangu; mazayuni wakikiri kuuliwa 14 ujuwe hapo ni 140, siku zote wanatoa namba ndogo sana ya askari wao wanaouliwa kucheza na saikolojia ya watu, waonekane kuwa wao hawafi. Wanaleta mambo ya hollywood, mbabe hafi.
Wapalestina wanaongeza mashambulizi:
Muono wangu; mazayuni wakikiri kuuliwa 14 ujuwe hapo ni 140, siku zote wanatoa namba ndogo sana ya askari wao wanaouliwa kucheza na saikolojia ya watu, waonekane kuwa wao hawafi. Wanaleta mambo ya hollywood, mbabe hafi.