Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Sio kila kitu kupinga pinga tu - wewe ulitakaje? Ulitaka madaktari wahitishe press conference wazungumzie masuala ya maabukizi ya virus Nchini wakiwa na lengo la ku pre empty kauli ya Serikali ambayo ndio mwajili wao - nchi haendeshwi kihuni kama mnavyo taka. Labda ni kuhoji swali dogo kama unafikiri maambukizi ya corona ni mengi sana nchini, ebu twambie umekwisha shuhudia misiba mingapi ya Corona katika mitaa unayo ishi, tuanzie hapo kabla hatuja jadiri horror stories zenu.
IMG-20200527-WA0012.jpg
Unataka ushuhuda zaidi....
Swali kwa nn nyie mbwa hampimi?
Hizi ni taarifa za Jana tu ww mfia buku 7
 
Yaani madaktari wetu wamegeuka watabiri? Kipimo kipo kwenye uchunguzi kwa maana hakuna waliopimwa ili kujua wameathirika au la.

Pili walishasema kupitia wizara kwamba hawatalaza au kuwaweka karantini watu walioathirika kama hawaugui.
Watalazwa tu wale watakaoenda / pelekwa hosp wakiwa wagonjwa.

Hivyo majibu ya kiunajimu bila vipimo ni kujishusha hadhi kwa kada ya tabibu inayoaminiwa kuwa ya wasomi.
Binafsi bado naendelea kuchukua tahadhari dhidi ya korona.
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo...
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti

Hii nji imeshalaaniwa? Tanzania credibility kitaifa na kimataifa imeporomoka vibaya sana...!

Nimemsikia huyu Dr. Osati Elisha akiongea na BBC Swahili hakika taarifa yake inasikitisha. Dr. Mzima anaongea ujinga na Uongo....Hana data na Hana reference yoyote....!!

Huyu Osati alikuwa ana kariri lugha za Wanasiasa.."MAAMBUKIZI YAMEPUNGUA SANA".....Non-sense!
 
Naona Dr. Elisha ameremba bandiko kuthibitisha hitaji la moyo wa Mfalme. Mara paap uteuzi.
 
Hii nji imeshalaaniwa? Tanzania credibility kitaifa na kimataifa imeporomoka vibaya sana...!

Nimemsikia huyu Dr. Osati Elisha akiongea na BBC Swahili hakika taarifa yake inasikitisha. Dr. Mzima anaongea ujinga na Uongo....Hana data na Hana reference yoyote....!!
Huyu Osati alikuwa ana kariri lugha za Wanasiasa.."MAAMBUKIZI YAMEPUNGUA SANA".....Non-sense!
Ni zaidi ya maagizo kutoka juu...
 
Sisi chadema hatuamini hii habari, tunataka takwimu na lockdown.
 
Maelekezo yalishatolewa watu watumie nyungu na limau tangawizi vitunguu swaumu, nyumbani, kama ulivyosema baadhi ya wauguzi wanajiuguza nyumbani, ukupaswa uje ueleze hali ya hospital hapa, kwa kuwa wagonjwa wapo majumbani.

Takwimu sahihi haziwezi patikana, kama kuna taasisi au chama, ni vema wa shuke chini mitaani watathimini hali ikoje majumbani, badala ya kukaa ofisini na kuleta polojo!
 
Vyuo vikishafunguliwa hakutakuwa na mtu wa kutuaminisha kama corona ipo au haipo.

Chochote kitakachojiri kitasambaa kama moto nyikani.
 
"Roving Journalist, post: 35507046, member: 429096"]
Hayo yamesemwa na Dr. Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) leo Mei 27, 2020
Taarifa hii kama ilivyowekwa na JF haina shaka ni ya kweli.
Natilia shaka kutokana na maudhui yake.
Ikumbukwe MAT ni chama kinachowajumuisha madaktari ngazi zote hadi maprofesa.
Taarifa kama hii kama ni ya MAT wanataaluma hao wajisikie kudhalilika sana. Ni ya kiwango cha chini sana.
Tukizungumzia mwenendo wa corona, tumefanya tathmini ya ugonjwa huu kwa kushirikiana na madaktari pamoja na watafiti mbalimbali kutoka hapa kwetu.
Kauli hii ni kuhakikisha wanaondoa taasisi za nje kama zile za kikanda, Afrika na WHO.
[/quote]
Ugonjwa umepungua kwa kiasi kikubwa nchi kwa kuangalia vituo mbalimbali, haswa kwa vile vituo ambavyo wagonjwa walikuwa wanaweka wamepungua sana. Wale wagonjwa waliokuwa wanahitaji hewa ya Oksijeni wamepungua sana.
Crap! Ugonjwa umepungua sana takwimu zipo wapi?
Umepungua kutoka namba gani hadi namba ipi?
Kama wagonjwa hawaendi vituoni Daktari wetu anategemea kupata matokeo gani?
Mwezi wa nne tulikuwa tunapokea wagonjwa wengi na majibu ya watu wengi tuliokuwa tukiwapima zaidi ya asilimia 90 zilikuwa zinakuja na matokeo chanya kwamba wana Corona. Lakini kwa sasa hivi, yaani kwa wiki iliyopita, idadi ya sampuli zinazopelekwa na kurudi chanya ni chini ya 10% tu ya majibu ya vipimo vyote.
Nonsense !
Wengi ni takwimu gani! Mlipokea wagonjwa wangapi?
Kama unapata wagonjwa 1000 Sample size ni kubwa kuliko 100. Probability itazingatia sample size.Dr alipaswa kueleza walipokea wagonjwa wangapi na sasa wanapokea wangapi.
Lakini pia kwa ngazi ya jamii, tumeona kwa ngazi ya jamii ugonjwa umepungua kwa kiasi kikubwa sana.
Nonsense ! kupungua kiasi kikubwa ni lugha ya layman siyo Daktari.
Hizi degree za Tanzania kuna kila sababu ya kuzitilia shaka , sorry huo ndio ukweli.
Dr , MD anaongea kama katibu kata
Nafikiri mnakumbuka kuwa tulikuwa na namba za simu kwa ajili ya kuomba msaada au kutoa taarifa, kiasi cha wanaopiga simu kimepungua sana, pia waliokuwa wanatutafuta kwa matatizo ya kukosa ladha ya chakula au harufu pia imepungua sana.
Hii aibu itaishia lini?
Hivi MAT huyu ndiye mliyemtuma kweli azungumze na jamii!
kwamba anawakilisha hadi marofesa!
Hii nonsense mnaikubali kwa dhati kabisa bila kuikemea ! shame on you MAT
Wengine wamerudi kazini tunaendelea kufanya nao kazi wengine wako nyumbani wanazidi kujiuguza lakini wanaendelea vizuri lakini tunawashukuru sana.
Hapa anathibitisha kuwa watu hawaendi hospitali, halafu kiongozi huyo wa MAT anaaminisha umma ''idadi imepungua sana'' yaani hana hata takwimu za madaktari waliougua!
MAT shame on you
Jambo la pili ni kwamba tunaona wagonjwa katika hospitali zetu bado watu hawajaanza kuja hospitali vizuri. Tungependa kuwahakikishia kuwa ugonjwa umepungua kwa hiyo watu wasikae nyumbani waje hospitali waweze kuhudumiwa kwa kuwa sisi madaktari tupo tayari kuwahudumia.
Mumeona siasa inavyofanya kazi. Huko nyuma kasema idadi imepungua sana, hapa anajisahau na kueleza ukweli kuwa watu hawaendi hospitali tena.Ukiwa muongo basi uwe na kumbu kumbu.
Wagonjwa wetu wengi (hapa Tanzania) hawakuwa na homa kali sana na wale waliokuwa na ugonjwa mkali tunashukuru wamepona.
Na wale waliozikwa usiku!
Sisi hatuna takwimukama general kwa sababu watu ambao wako responsible wapo, mheshimiwa Waziri Mkuu, Waziri wa Afya, Msemaji wa Serikali na Rais wanaweza kusema kuhusu takwimu.
Kama huna takwimu unaonge kwa kutumia vigezo gani?Ni aibu kwa taaluma ya afya ! Hii nonsense anasema ni taarifa ya MAT, Real?
Sisi tumefanya analysis ya kitaalamu kuangalia vituo vyetu vya afya vya kutolea huduma, tumeangalia wale wagonjwa wanaokuja na kuangalia jamii.
oh no!

MAT kaeni mkanushe hii taarifa ya kisiasa ya kutafuta kick.
Hivi MAT mnaweza ku-share taarifa hii na wenzenu wa EAC, SADC, AU au WHO kabla ya dunia kutafakari kuhusu Taaluma yenu !


Pascal Mayalla Mag3 JokaKuu jmushi1
 
Eti
Umepungua sana...

Umepungua kwa kiasi kikubwa...

Wamepungua mno...

Inaonekana kupungua...

Hii ni f***g shit data gani hiyo haina namba yani wanakaa wanaona watanzania ni wa miaka ya 1880 sio
 
Kupenda kufikiri uwezavyo, kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. Unakaataje wakati wamesema wao, hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?

Hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid, sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani, natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Ni kweli lakini wataalamu ndio waliotakiwa kuongoza. Hebu elezea wataalamu waliotumbuliwa walikuwa na kosa gani?woga tuu unawasumbua.
 
Eti
Umepungua sana...

Umepungua kwa kiasi kikubwa...

Wamepungua mno...

Inaonekana kupungua...

Hii ni f***g shit data gani hiyo haina namba yani wanakaa wanaona watanzania ni wa miaka ya 1880 sio
The saying goes, " NUMBERS SPEAKS" and " NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK"
Chini ya utawala wa Hayati mwenda zake misemo kama hii ilipuuzwa sana.!!
Covid-19 Tanzania ilikuwa ni mali ya hayati, alijimilikisha ugonjwa huu kuwa mali yake na kuamua kuwa kinyume na sayansi ya Udaktari!!! Kwa vile hayati alisoma Kemia akafikiri Kemia ndo kila kitu and you can apply it anywhere and still works...!!!
  1. Hayati Magufuli alijigeuza Waziri wa Afya.
  2. Hayati Magufuli alijigeuza Daktari Bingwa wa Corona.
  3. Hayati Magufuli alijigeuza Mganga Mkuu wa Serikali.
  4. Hayati akajigeuza kuwa ndo Msemaji Serikali wa Covid-19.
Wahenga walisema huwezi kushindana na maumbile/asili(nature) na ukabaki salama.Ndicho hasa kilichotokea kwa Hayati JPM(RIP)!!!!
 
Huyu jamaa nikikuta ni daktari wa zamu popote nakimbia,

Anaweza kuandikia dawa halafu baadae akajasema alikosea ikawa imekula kwako.

Kwa ufupi sio wa kumwamini kabisa kusimamia afya ya binadamu mwenzake.
 
Eti
Umepungua sana...

Umepungua kwa kiasi kikubwa...

Wamepungua mno...

Inaonekana kupungua...

Hii ni f***g shit data gani hiyo haina namba yani wanakaa wanaona watanzania ni wa miaka ya 1880 sio
Wapi Godwin Mollel daktari aliyesomea mitishamba na upiga ramli?
Huyu na mataga wengine ndo wamemsababisha JPM akaingia choo cha kike and it costed him dearly!!!
 
Ulikua sahihi sana! Hatimaye wameanza kujitokeza mmoja mmoja...
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo...

Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
 
Back
Top Bottom