Rais Samia yupo Afrika Kusini, kapotezea kumbukizi ya Hayati Magufuli?

Mchochezi

JF-Expert Member
Feb 29, 2012
10,416
6,579
Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.

Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?

Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
 
Eti kipindi cha kumbukizi ya mkapa mama alikua wapi.


Wasukuma ni washamba yani wanamuona marehemu alikuwa Mungu kwao
 
Mwache aende tushamjua sio mwenzetu huyo pengine angetuharibia sala na vijana wake wa chadema.
 
Kwanini ifanyike kila mwaka kwamba akifanyiwa kumbukumbu atarudi mtu ameenda ameenda tu maisha lazima yaendelee
 
Kama wewe ni ndugu mchochezi,hapa tuseme uchochezi au ulizo la kawaida 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…