Kwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Eti kipindi cha kumbukizi ya mkapa mama alikua wapi.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Wanaompangia Rais ratiba wamuonee huruma.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Amesema waache wafu waomboleze wafu wenzao.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Mwache aende tushamjua sio mwenzetu huyo pengine angetuharibia sala na vijana wake wa chadema.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Kwanini ifanyike kila mwaka kwamba akifanyiwa kumbukumbu atarudi mtu ameenda ameenda tu maisha lazima yaendeleeKesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Mkapa siyo sukuma gang ndo maana hawamtaki.Kwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Wewe fanya ya MkapaKwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Na ww komaa na ya Magu.Wewe fanya ya Mkapa
PATHETIC
Kama wewe ni ndugu mchochezi,hapa tuseme uchochezi au ulizo la kawaida 🤔Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Kumbukumbu tunayo ya Nyerere tu,Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?