Rais Samia, usijenge Bandari ya Bagamoyo utaiua nchi kabisa

China baada ya kutawanya rasilimali zake kulisha dunia kwa kipindi kifupi, janga mbele yake kuporomoka, anajipanga kuwa na bases nje ya China ( China within other countries) afaidi Malighafi na export kwa ushindani. Ni mpango wa ajabu na aibu viongozi wetu wabinafsi na wanafiki kutuuza kwa Bei ya bure Zama hizi za mwanga.
Usaliti kutokuwa na Bunge la wananchi Leo hii tunampa kazi isiyo yake CDF, tuipende nchi yetu tuwe na Katiba Bora ,mifumo na taasisi imara. Huu ujinga nyie CCM mmepandikiza mfumo wa MTU mlaaniwe na vizazi vyenu.
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Hivi wewe hukumsikia hata Museveni anashangaa mizigo michache inapita Dar mpaka Mama kaomba mabomba yapite Dar kaomba, Zambia wanapita Beira, Uganda mizigo mingi Mombasa Rwanda hivyo hivyo ni michache sana inapita Dar sio kama unavyotaka kusema hapa. Hakuna bandari ya hovyo kama Dar urasimu hakuna fair system wako slow ndio sababu ya wengi kuikimbia tumebaki na nyimbo tu inahudumia nchi 6 weka hapa inahudumia kwa kiasi gani? wameshaikimbia watu siku nyingi ni maiti tu inatembea.
 
Then wachina waishikilie hiyo bandari kwa miaka 100, kama hii ni kweli basi Tanzania ni taifa la ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani, muhimu huo mkataba wa hiyo bandari uwekwe wazi kila kitu kijulikane, hii biashara ya kufanya mikataba siri ndio inaliangamiza hili taifa lililojaa viongozi walafi.
Sio Tanzania nchi ya ajabu, bali tunaongozwa na watu wa ajabu halafu kuna kitu kimetu affect na hili ni kosa lazima tukiri; zile fikra za mwenyekiti zidumu tunaziendeleza hadi leo wakati nchi tayari imeingia mikonono mwa uzao wa nyoka si bado tunadhani hawa nao ni wakina Nyerere, Karume, Kawawa ,Sokoine n.k
Kama mleta mada anapoongea , kuwa fulani amshauri fulani, kwani yeye fulani haoni jambo la wazi kabisa hilo . Unaposikia nusu ya chama kimegawanyika juu ya jambo hapo tayari umeshapata ushauri katikati ya debate hiyo inayoendelea. Watu wengi wakubwa wameshasema, ukiona anaendelea mbele kujenga maana yake hicho ni kiburi, maslahi ya kundi lake, na kukosa uzalendo, period.
Tusiumeume maneno jambo liko wazi hilo, mitandao yote imerindima juu ya hilo, ya uganda na zambia tumeyasikia , ww ndio uwe juu usione wakati ss tuliochini tunaona na tunapiga kelele, la msingi hapa. MIKATABA IPITIWE KIZALENDO, HATUPINGI JAMBO LENYE TIJA ILIMRADI KUPINGA TU, UTAKUA NAO NI UJINGA PIA.
 
Nadhani hawa ndo wenye ushawishi kwa mama
1. Jk
2. Mwinyi
3. Mwinyi Jr



Pili nafikiri kwamba ushauri au suala lolote muhimu ili lipitishwe lazima lipitie kwa hiyo list hapo juu.

CDF kaapa kumtii Rais na ndo anayemteua, sioni akichukua nafasi ya kuwa mshauri.

Kama unataka kitu kisifanyike mpige pini mshauri namba moja.
Umemsahau bashite

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Tungekuwa na Katiba Mpya ya wananchi na 'Bunge linalojitambua' kusingekuwa na haja kumhusisha CDF na mambo yasiyomhusu. Mkatae mkubali Katiba Mpya inayotokana na wananchi haiepukiki.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Bandiko bora kabisa la kwa mwaka huu .huo ndo ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.

Tangu Jwtz watumike kusambaza kura feki kipndi cha uchaguzi sina imani nao tena;
 
China baada ya kutawanya rasilimali zake kulisha dunia kwa kipindi kifupi, janga mbele yake kuporomoka, anajipanga kuwa na bases nje ya China ( China within other countries) afaidi Malighafi na export kwa ushindani. Ni mpango wa ajabu na aibu viongozi wetu wabinafsi na wanafiki kutuuza kwa Bei ya bure Zama hizi za mwanga.
Usaliti kutokuwa na Bunge la wananchi Leo hii tunampa kazi isiyo yake CDF, tuipende nchi yetu tuwe na Katiba Bora ,mifumo na taasisi imara. Huu ujinga nyie CCM mmepandikiza mfumo wa MTU mlaaniwe na vizazi vyenu.

Cdf mwenyewe wakala wa ccm
 
Then wachina waishikilie hiyo bandari kwa miaka 100, kama hii ni kweli basi Tanzania ni taifa la ajabu sana kuwahi kutokea hapa duniani, muhimu huo mkataba wa hiyo bandari uwekwe wazi kila kitu kijulikane, hii biashara ya kufanya mikataba siri ndio inaliangamiza hili taifa lililojaa viongozi walafi.
Upo sahihi kabisa mkuu

Sent from my E2363 using JamiiForums mobile app
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Mkwere akishakuja ujue upigaji uko palepale
 
Nipende kumuomba CDF amshauri Rais asijenge Bandari ya Bagamoyo kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kuliua Taifa Kabisa.

Nimemuomba CDF kwani yeye ndiye mkuu wa majeshi ya Ulinzi, na ulinzi ni pamoja na kuangalia uhai wa Taifa, sio kwa mtutu wa Bunduki tu na mizinga bali hata kwa ushauri wenye lengo la kuliponya Taifa.

Ikumbukwe kwamba Bandari ya Dar es Salaam, inahudumia zaidi ya asilimia tisini ya biashara za kimataifa kwa taifa letu.

Bandari hiyo hiyo ya Dar inahudumia nchi nyingine sita ambazo zimelizunguka taifa letu ikiwa ni pamoja na Rwanda, Burundi, DRC, Malawi, Zambia na Uganda.

China ni moja wapo ya Nchi zilizoweka nia ya kujenga bandari ya kisasa pale bagamoyo.

Bandari hii itakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa na itakuwa na vifaa vya kisasa kabisa hivyo kuifanya Bandari hii kuwa ya kipekee katika ukanda huu.

Nchi yetu inategemea sana mapato yatokanayo na bidhaa zinazopitia katika bandari yetu.

Kwa mwaka 2018 pekee, China na Tanzania zilifanya biashara ya kiasi cha dola za kimarekani 1.8 Bilioni sawa na Shilingi za kitanzania Trilioni Mbili.

China hiyo hiyo inafanya bishara ya Mabilioni ya Dola kwa nchi zinazozunguka Tanzania na kuitegemea Bandari yetu.

Inasemekana kwamba China watatoa fedha za mkopo ili kujenga bandari hiyo kiasi cha Dola Bilioni 10 za Kimarekani na ili kurejesha mkopo huo Bandari hiyo itakuwa chini ya uangalizi wao kwa miaka 100.

Kama hilo likitokea inamaana kwamba asilimia kubwa ya mapato yatayopatikana na Bandari hiyo yatakwenda kwao ili kulipa deni.

Kwakua China ni mdau mkubwa wa biashara na Tanzania, Kila bidhaa itayoagizwa toka china kuja Tanzania lazima itapitia Bagamoyo.

Automatically ile Biashara ya Dola Bilioni 1.8 inahamia Bagamoyo toka Bandari ya Dar. Na mapato toka nchi za DRC, Zambia , Malawi, Uganda, Burundi na Rwanda.

sitaki kuamini kwamba China atakua mwaminifu sana katika kuweka mapato ya Bandari ya Bagamoyo na kwakua historia ni shahidi tumekuwa na watu ambao sio waaminifu wanaoshirikiana na wageni katika kulitia hasara Taifa, hivyo hakuna namna tutaubiwa tu.

Kwakua bandari ya Dar itakuwa ndogo, yenye vifaa dhaifu na vya zamani hakuna atayepeleka mizigo pale, wote watahamia Bagamoyo.

Na kwakua hatutakua tunaingiza mapato, hivyo hatutaweza kulipa deni na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwa wakati, jambo litakalowafanya wachina waextend muda wa kuendelea kuishikilia bandari ili walipe deni lao, jambo hili litaendelea milele.

Hivyo tutakuwa tumepoteza bandari na mapato na bado tunadaiwa.

Mkuu, CDF, Nakuomba sana wewe pamoja na makamanda wengine, mumshauri vyema Rais ili bandari hii isijengwe kwani ni hatari kwa uhai wa Taifa.

Ni hayo tu.
Nilikuwa nakasana kusoma huu uzi wako, lakini nilipofika sehemu iliyoandikwa "inasemekana kuwa" namni nikakomea hapohapo na kuanza kuandika hii reply.
 
nilichokiona hapo hamtaki mkoa wa pwani kuwa na maendeleo.mmepeleka fedha nyingi sana Dodoma na Chato ili kuziinua sehemu hizo.
 
CDF anateuliwa na Rais kwa mjibu wa katiba iliyopo

Ulimsikia mwenyewe kwa masikio yako siku Ile ya mazishi kule Chato CDF alitamka mwenyewe kwa mdomo wake kwamba atamtii Rais (Samia)

Kwa kuwa Rais anatokana na ccm hawezi kumteua CDF asiye mfuasi wa ccm

Ili kupata uponyaji wa uhakika nchi hii kwanza ni katiba mpya na Kisha ccm wapumzike pembeni
 
JK hajawahi kuwa na uchungu na nchi yetu,Sasa amemutegea zigo la miiba Hangaya,naye ndo kalibeba kichwani,laana za wana wa Tanzania juu ya kichwa chake.
 
Labda tuanze kuwatumia wachawi kwa maslahi ya taifa.

Tukiona kiongozi fulani anazingua tunaita kamati ya wachawi wanamloga afe basi mchezo kwisha
 
Back
Top Bottom