Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 899
- 2,207
Bandugu,
Nimepokea kwa mshtuko, mshangao na aibu nilipomsikia Rais wa JMT Dk. Samia Suluhu Hassan akiutangazia Dunia kuwa tayari amemaliza kurekodi muvi inayoitwa "Kijiji Cha Milele". Nimejihisi aibu hata kama chawa watakuja kutetea utalii na Kubidhaisha lugha ya Kiswahili duniani. None sense.
Hapa ni ushauri Samia achague kutumikia wananchi kama Mkuu wa nchi au ajiunge na wasanii wa Bongo Movie. Why?
Kuandaa movie kunahitaji muda wa mazoezi na majaribio katika locations zitakazoelekezwa na director. Msanii lazima awepo location. Movie moja inaweza kuchukua hata miezi sita na zaidi. Najiuliza Rais anapata wapi muda wa kushiriki movie na Mchina? Hivi kweli tuko serious?
Magufuli alilalamika kwamba kazi ya Urais ni ngumu maana hata muda wa kulala hupati na ukipata unakuta umelala na rundo la mafaili yanakusubiri kuyasoma na kutolea uamuzi. Rais Samia Suluhu Hassan yeye ana muda wa kucheza film kweli tuko serious?
Moja ya sifa za Marais huko duniani ni kuandika vitabu na makala kuonesha fikra, mawazo na falsafa yake. Sisi Rais anacheza movie. Ama kweli huu ndio muda wapigaji hutumia kuiba fedha za umma. Khaaa!
Nimechoka!
Nimepokea kwa mshtuko, mshangao na aibu nilipomsikia Rais wa JMT Dk. Samia Suluhu Hassan akiutangazia Dunia kuwa tayari amemaliza kurekodi muvi inayoitwa "Kijiji Cha Milele". Nimejihisi aibu hata kama chawa watakuja kutetea utalii na Kubidhaisha lugha ya Kiswahili duniani. None sense.
Hapa ni ushauri Samia achague kutumikia wananchi kama Mkuu wa nchi au ajiunge na wasanii wa Bongo Movie. Why?
Kuandaa movie kunahitaji muda wa mazoezi na majaribio katika locations zitakazoelekezwa na director. Msanii lazima awepo location. Movie moja inaweza kuchukua hata miezi sita na zaidi. Najiuliza Rais anapata wapi muda wa kushiriki movie na Mchina? Hivi kweli tuko serious?
Magufuli alilalamika kwamba kazi ya Urais ni ngumu maana hata muda wa kulala hupati na ukipata unakuta umelala na rundo la mafaili yanakusubiri kuyasoma na kutolea uamuzi. Rais Samia Suluhu Hassan yeye ana muda wa kucheza film kweli tuko serious?
Moja ya sifa za Marais huko duniani ni kuandika vitabu na makala kuonesha fikra, mawazo na falsafa yake. Sisi Rais anacheza movie. Ama kweli huu ndio muda wapigaji hutumia kuiba fedha za umma. Khaaa!
Nimechoka!