Luheshi
Senior Member
- Jul 31, 2019
- 103
- 120
Unamsapoti mtusi mwenzako fala wwI I salute you,ukweli mtupu na hata JPM mbinu nyingi za kukuza uchumi na misimamo ya ujenzi wa nchi aliitoa Rwanda.
Hao watu wako serious na nchi yao na si huku TZ porojo za kisiasa ili watu wapige hela tu,yani mnazitafuta hela kwa nguvu kwenye Kodi Kisha Wanakuja kuzibwia hovyo wanasiasa BUNGENI na maruzuku ya vyama wakijineemesha wachache.
Upumbavu huu wa siasa they so called Democracy hatutoboi miaka 10000