Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,828
Rais Samia leo July 17, 2023 amefungua mkutano wa wadau wa demokrasia barani Afrika unaowahusisha viongozi wakuu wastaafu mjini Arusha. Sehemu ya hotuba yake ameongelea namna ambazo si nzuri katika kufikisha hisia za wananchi.
Rais Samia: Kushindwa kwa Serikali kuhudumia mahitaji ya msingi imeibua malalamiko kwenye sehemu ya bara la Afrika. Baadhi kudharau na kufanya baadhi ya watu kwenye jamii kupinga na kudharau mamlaka ya Serikali kwa kuanzisha mifumo ambayo inatumia vurugu kuwalisha sauti ya wananchi.
Hii inajumuisha wanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano. Na hii ni sehemu baadhi ya vipengele vya demokrasia kama uhuru wa kukusanyika na kutoa maoni vinatumika vibaya.
Pia, Soma=> Rais Samia akifungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika wa Viongozi wakuu wastaafu, leo Julai 17, 2023
Rais Samia: Kushindwa kwa Serikali kuhudumia mahitaji ya msingi imeibua malalamiko kwenye sehemu ya bara la Afrika. Baadhi kudharau na kufanya baadhi ya watu kwenye jamii kupinga na kudharau mamlaka ya Serikali kwa kuanzisha mifumo ambayo inatumia vurugu kuwalisha sauti ya wananchi.
Hii inajumuisha wanaharakati, vikundi vya kigaidi na maandamano. Na hii ni sehemu baadhi ya vipengele vya demokrasia kama uhuru wa kukusanyika na kutoa maoni vinatumika vibaya.
Pia, Soma=> Rais Samia akifungua Mkutano wa Wadau wa Demokrasia Barani Afrika wa Viongozi wakuu wastaafu, leo Julai 17, 2023