Usikariri 😄Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Mzee Makamba sometimes Alikuwa anasali KKKT Kijitonyama kwa Mchungaji Hiza 😀🔥Kwa CCM mgombea atakayeteuliwa anatakiwa awe Mkristo.
Labda abadilishe dini
Muulizeni na mpwayungu 😅👍🏾Ujinga tu na na betting za mitandaoni; Nyerere alikuwa mwalimu, Mwinyi mwalimu, Magufuli Mwalimu. Ndo tusema ukasome ualimu ili upate urais?
Muulize Membe, muulize Malechela.
Sawa. Ukimuona mzee Kikwete umpe salam zangu.Ni mjinga na mpumbavu anayeweza kuamini hili
Lakini usisahau hata marehemu Membe alikuwa na nafasi hiyo hakuupata uraisiKiko wapi kivipi. wakati ana andaliwa kuwa Rais kapewa wizara nyeti.. Ambayo ni njia ya kuelekea Magogoni
Huyo anaandaliwa kuja kuwa mkali kama Magufuli'Msoga' wanamkuza ili aje awe mgombea 2030!
Hivi kwa akili gani alizo nazo hadi aongoze Taifa?
Kwanini tunafanya majaribio ya watu ambao akili ni finyu na ndogo?
Kwanza kwenye maadili sio mzuri kabisa!
'Msoga' umetukosea sana Tz tunaomba sasa achana na haya mambo!
Hata Palamagamba Kabudi alikuwa huko, yuko wapi Sasa hivi??Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Kabudi karudi zake jalalani universityHata kabudi alipewa hiyo wizara yupo wapi sasa
Tayari ana mkataba na hao wahindi na atakuwa anakula percent yake humo upon renewals.70 Billion kukodisha software India kwa ajili ya management ya nishati ya umeme.
Hio atakuwa anaila tu bila kokoro maana mikataba kashasaini. Mpunga utakuwa unaingia tu kama kawa maana software sidhani kama inalipwa zaidi ya billion 10 hizo billion sitini zinazozidi ni za kijana.Halafu kuna ile Tshs 78 Bill kila mwaka ya software feki
Kututoa kwenye umeme usiokatika ovyo ovyo kwenda kwenye mgao wa umeme.Legacy ya Makamba ni ipi hapo TANESCO?
He can not be.Ungejua Marais 2 wa nchi hii walitokea Wizara ya Mambo ya Nje ungekaa kimya.
Labda uraisi wa familia yake ila sio TanzaniaMlimuonya nini sasa ? Huoni kama kwa sasa kaenda kuandaliwa kuwa Rais wa 2030? Mambo ya ndani, nishati na tamisemi ni balaa. Ukienda lazima uchafuke.