Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,346
- 13,912
ukitembelea maeneo ya vijijini halafu ukasikia tanzania kuingia uchumi wa kati utashangaa sana. uchumi wa kati na umaskini huu tulio nao!!!!! unemployment hii?
Rais alishakufa!Wadau,
Heshima kwenu,
Inasikitisha kuona nchi inarudi nyuma kwa speed of light
2.0 × 10^8
"Tumeondolewa Katika Uchuni wa KATI Lakini Tutarudi" - Rais Samia
Udaku SpecialApril 05, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwamba ingawa Tanzania imeondolewa kwenye nchi zenye uchumi wa kati lakini kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa imefika au imekaribia kurudi uchumi wa kati.
Mhe. Rais Samia ameyasema hayo leo Aprili 5, 2022 alipokuwa akihutubia katika hafla ya kufungua mkutano wa kitaifa wa haki, amani na maridhiano Tanzania ambao umefanyika Makao Makuu, Dodoma.
"Tanzania tuliingia uchumi wa kati tukarudishwa, siyo kwa mipango ya mtu, ni mipango ya Mungu. Kwahiyo tupambane kurudi tulipokuwa. Na kwa ninavyoiongoza serikali, natarajia kufikia 2025 tutakuwa tumefika au tunakaribia kurudi uchumi wa kati" - Rais Samia Suluhu Hassan.
Aidha katika hotuba yake, Rais Samia amewasisitiza viongozi wa vyama vya kisiasa kuhakikisha kwamba wanautumia mkutano huo vema na kumpelekea mapendekezo yenye tija kwa Tanzania na watu wake.
Rais Samia amewakumbusha wajumbe wa mkutano huo kuwa Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe na hivyo wajadili mambo ambayo yanaendana na mazingira ya Kitanzania na kuongeza kwamba kazi ya vyama vingi ni kuona yanayofanywa na serikali na kutoa maoni kwa serikali.
Kwenda uchumi wa kati siyo kitu Cha bahati mbaya Bali ni mipango ya mwamba kutoka chato na kwasasa hayupo,kwaiyo aliuleta uchumi kati na sasa amaondoka nao,acha tuone hatima ya hili.Wadau,
Heshima kwenu,
Inasikitisha kuona nchi inarudi nyuma kwa speed of light
2.0 × 10^8
"Tumeondolewa Katika Uchuni wa KATI Lakini Tutarudi" - Rais Samia
Udaku SpecialApril 05, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kwamba ingawa Tanzania imeondolewa kwenye nchi zenye uchumi wa kati lakini kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa imefika au imekaribia kurudi uchumi wa kati.
Mhe. Rais Samia ameyasema hayo leo Aprili 5, 2022 alipokuwa akihutubia katika hafla ya kufungua mkutano wa kitaifa wa haki, amani na maridhiano Tanzania ambao umefanyika Makao Makuu, Dodoma.
"Tanzania tuliingia uchumi wa kati tukarudishwa, siyo kwa mipango ya mtu, ni mipango ya Mungu. Kwahiyo tupambane kurudi tulipokuwa. Na kwa ninavyoiongoza serikali, natarajia kufikia 2025 tutakuwa tumefika au tunakaribia kurudi uchumi wa kati" - Rais Samia Suluhu Hassan.
Aidha katika hotuba yake, Rais Samia amewasisitiza viongozi wa vyama vya kisiasa kuhakikisha kwamba wanautumia mkutano huo vema na kumpelekea mapendekezo yenye tija kwa Tanzania na watu wake.
Rais Samia amewakumbusha wajumbe wa mkutano huo kuwa Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe na hivyo wajadili mambo ambayo yanaendana na mazingira ya Kitanzania na kuongeza kwamba kazi ya vyama vingi ni kuona yanayofanywa na serikali na kutoa maoni kwa serikali.
Kwanza hata speed of light haujui unajiandikia na kujiropokea kama huyo role model wako.
Speed of light ni 3*10^8 [m/s]
ukitembelea maeneo ya vijijini halafu ukasikia tanzania kuingia uchumi wa kati utashangaa sana. uchumi wa kati na umaskini huu tulio nao!!!!! unemployment hii?
Wewe umeangalia asichokijua tu lakini hujasema unachokijua hapa.. chuki ni upofu
Kwa hivyo unafurahi tuendelee kuwa omba omba? Strange way of thinkingKuondolewa ni jambo zuri. Maana yake tutafikiriwa zaidi kwenye misaada.
Sasa tutafanyaje?Kwa hivyo unafurahi tuendelee kuwa omba omba? Strange way of thinking
Lakin hakuna msaada wa bure. Hapo tutafikiriwa zaidi jins ya kunyonywaKuondolewa ni jambo zuri. Maana yake tutafikiriwa zaidi kwenye misaada.
Maana yake tumerudi kwenye nchi masikini kabisa duniani za kutupwaMbona kama tunafanywa wajinga na baadhi mnakubali....
Tulikua uchumi wa Kati wa Chini hakuna kundi lingine hilo ndo la mwisho sasa ukisema tumeondolewa hapo ni ili tuwekwe wapi ama Sisi tumeanzishiwa kundi spesho?
Wewe na nani?Sasa tutafanyaje?
Miaka sitini ya uhuru tumeshindwa kujitoa umaskin. Ni bora tuendelee kupata msaada tusife njaa. Heri nusu shari.Lakin hakuna msaada wa bure. Hapo tutafikiriwa zaidi jins ya kunyonywa
Na watz woteWewe na nani?