PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 13,371
- 43,001
Kuipata Pepo ukiwa CCM ni ngumu Sana......hili ni dili la kupiga pesa
Visiwa Zbar vinatakiwa Zoom ili Kzmkz ionekane dunianiii.....hiyo ndio sbb kuuu kuchoraaa mengine gereshaaampaka unatakiwa kupita katikati ya ziwa, kwa sababu hata msumbiji mpaka upo katikati, ila ukija kaskazini malawi wanasema tz isiwe katikati. hoja yao kuu ni kwamba, kulishawahi kuwa na mkataba wa kikoloni, na hoja nyingine ni kwamba Tanzania ina maziwa mengi nje ya nyasa.
Mlienda kuokota secretary mtakomaDa tunaongozwa na majitu ya hovyo asee
Hakuna namna uchawi unalipa haswaMlienda kuokota secretary mtakoma
Katiba mpya aaaah ,wizi tu 🤣🤣Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.
Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70
Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.
"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.
Labda kama Kuna palipouzwaKuna baadhi ya maeneo yataondolewa au
Bilioni 173Nakuchora Ramani Mpya ni Mchakato
Mbona ndogo hiyo mkuuBillion 600 haya kuna shida?
Hamna lolote hapo zaidi ya kutaka Kizimkazi nayo ionekane kwenye ramani basiRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.
Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70
Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.
"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.
Urefu wa kamba ndo timeHaya Sh ngapi zitatumika kwenye hilo zoezi?
Kweli kila shughuli ni pesa.Anuani za makazi zimezikwa rasmi watu wapige pesa nyingine
mwanangu ukipewa hio bajeti utaanguka uzimie, tumuachie MuumbaHaya Sh ngapi zitatumika kwenye hilo zoezi?
Usijali, nyie huko unyumbuni si mnaongozwa na lissu na heche....basi jifarijini nao huku mkitupia tone tone za hapa na pale.Da tunaongozwa na majitu ya hovyo asee
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.
Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70
Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.
"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.