Rais Samia: Tanzania kuchora ramani yake mpya

Rais Samia: Tanzania kuchora ramani yake mpya

Usijali, nyie huko unyumbuni si mnaongozwa na lissu na heche....basi jifarijini nao huku mkitupia tone tone za hapa na pale.
Uzuri kuwa wametaka wenyewe kuliwa kwa hiyo tuwaache wacharazwe kweli kweli, wajinga ndio waliwao tone tone hoyeee.
 
Kama ni kweli au watu anataka reaction mimi nashauri asifanye hivyo ila kama anajiamini afanye ila ahakikishe anaweza asije ishia njiani nakutuacha na maswali magumu... kuna vitu sio vya kugusa maana vipo chini ya jamuhuri wala sio Rais wala havitaki siasa End.
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali iko kwenye mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyopo. Amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978.

Rais samia ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995 (Toleo la 2023) uliofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC) - Dodoma.
 
wasisahau eneo la kipande cha znz kilichopo bagamoyo kuki highlight kama eneo la znz!, inhependeza nasi bara tukawa na eneo znz likawa highlighted kama Tanganyika, kwa hili tutakuwa tumeuweka muungano wetu supa glue!
#Intelegency imenituma hayo!
 
Bilioni 133, mradi wa mabasi yaendayo kasi Mbagala bado mchakato unaendelea.
Lkn hapa nimekumbuka msemo usemao Mshika mbili moja humponyoka, watu wa Mbagala subirini uchaguzi ukaribie tutakuja kuzindua. Any way naelekea airport kupokea ndege mpya
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.

Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70

Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.

"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.

Usije ukakuta anafikiria kutoa kipande cha ardhi ya Tanzania kwa Wamalawi kupitia ziwa Nyasa, atakuwa ametenda kosa kubwa mno yeye kama Mzanzibari!
 
Kweli kila shughuli ni pesa.
Sasa kama nia ya dhati ipo , wapime miji yote kuondoa makazi(makazi holela yasiyo kuwa na barabara yasiyozingatia utaratibu wa mipango miji).

Kabla ya kuongeza maeneo mapya ya utawala kwa nini upimaji haufanyiki?!
Miaka 60 bado tunapima tu ardhi serious?
 
mpaka unatakiwa kupita katikati ya ziwa, kwa sababu hata msumbiji mpaka upo katikati, ila ukija kaskazini malawi wanasema tz isiwe katikati. hoja yao kuu ni kwamba, kulishawahi kuwa na mkataba wa kikoloni, na hoja nyingine ni kwamba Tanzania ina maziwa mengi nje ya nyasa.
Mikataba hiyo iliyowekwa na wakoloni lazima tuiheshimu. Vinginvyo unaonaje Kenya wakadai sehemu za Kilimanjaro, au Serengeti ni zao? Kumbuka hata ziwa Nyanza halimilikiwi kwa usawa kati ya Tanzania, Kenya na Uganda.
 
ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo
1742289302481.png


Hii ramani naona ina mikoa mipya ya
Geita
Simiyu
Katavi
Songwe
Njombe
Je iligawanywa 1978 au nani ameichora ramani hii?
 
Rais samia ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995 (Toleo la 2023) uliofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre (JKCC) - Dodoma.
Hii ndiyo ile wamesema inawafavour wageni
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.

Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70

Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.

"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.

Ziwa Nyasa mpaka wa Tanzania utakuwa katikati au ufukwe wa mashariki?
 
Back
Top Bottom