baz kaiza
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 11,699
- 12,579
Wanazunguka Tanzania nzima Kupima Square mita za mlaba but hiyo pesa ni Nyingi Milioni 400 ingetoshaBilioni 130 mkuu, hii nchi ni hatari balaa
Wanazunguka Tanzania nzima Kupima Square mita za mlaba but hiyo pesa ni Nyingi Milioni 400 ingetoshaBilioni 130 mkuu, hii nchi ni hatari balaa
Hii ramani yenye mpaka wa Tanzania na Malawi kwwnye ufukwe wa mashariki wa ziwa Nyasa umeitoa wapi mkuu?View attachment 3274972
Hii ramani naona ina mikoa mipya ya
Geita
Simiyu
Katavi
Songwe
Njombe
Je iligawanywa 1978 au nani ameichora ramani hii?
mkataba uliwekwa wakati wa wajerumani, tulipo kuwa chini ya uingereza ukavunjwa. tulipopata uhuru tukachora mpaka wetu katikati, tumeishi hivyo tukitumia maji hayo hadi leo. unataka heshima gani sasa wewe mmalawi?Mikataba hiyo iliyowekwa na wakoloni lazima tuiheshimu. Vinginvyo unaonaje Kenya wakadai sehemu za Kilimanjaro, au Serengeti ni zao? Kumbuka hata ziwa Nyanza halimilikiwi kwa usawa kati ya Tanzania, Kenya na Uganda.
Wewe nurse jamaniMi kidume dada'angu, vp unahitaji mume mbona umekimbilia huko fasta?
Tufanye bilioni 3 pamoja na vifaa na kila kitu, huu ni utapeli kuna drones zinaweza fanya hizi kazi kupitia vyuo vya ardhi Tabora, Morogoro na Dar.Wanazunguka Tanzania nzima Kupima Square mita za mlaba but hiyo pesa ni Nyingi Milioni 400 ingetosha
Macho yote ni ZIWA NYASAKuna baadhi ya maeneo yataondolewa au
Kuna payback mkuubut hiyo pesa ni Nyingi Milioni 400 ingetosha
Utasikia tu bilion 10Haya Sh ngapi zitatumika kwenye hilo zoezi?
😆🤣🤣Utasikia tu bilion 10
Bilioni 500 za mlipa kodi! Sorry za mama samia!Haya Sh ngapi zitatumika kwenye hilo zoezi?
Tunaziandaa za uchaguzi.Haya Sh ngapi zitatumika kwenye hilo zoezi?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.
Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70
Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.
"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo mbioni kuanza mchakato wa kuchora ramani mpya ili kuendana na mabadiliko yaliyojitokeza.
Pia, Soma: Rais Samia aikabidhi Wizara ya Ardhi magari 70
Rais Samia amesema mara ya mwisho ramani ya Tanzania ilichorwa mwaka 1978 huku vitu vingi vikibadilika.
"Hii tukimaliza, itatuwezesha kuchora ramani mpya ya Tanzania, ramani ya mwisho ya Tanzania, ilichorwa mwaka 1978, kwa kiasi kikubwa kuna mabadiliko makubwa hata ukichua tu, Jiji la Dar es Salaam, la mwaka 1978 na leo tofauti, mfumo huu utatuwezesha kutengeneza mipango ya kidijitali," amesema Rais Samia.