1. Ruhusu mikutano ya Siasa iendelee maana iko Kikatiba na kisheria.
2. Heshimu Haki za binadamu ambazo zimeainishwa kwenye Katiba. Kuna uvunjifu wa haki za binadamu mdogo mdogo
3. Waondoe akina Halima na wenzake bungeni. hawana uhalali wa Kikatiba na Kisheria kuwa pale na wewe unajua fika waliingiaje!
MWISHO:
4. . Alisema Mkuu wa majeshi kuwa wali ilinda katiba kilipotokea kifo cha Magufuli, nadhani unajua walimaanisha nini na unajua maana yake nini. (The message ni kwamba kulikuwa na watu wanataka kutoiheshimu Katiba....wakakataa kuwa lazima katiba iheshimiwe)
Jumapili njema tukasari lkwa Wakristo
2. Heshimu Haki za binadamu ambazo zimeainishwa kwenye Katiba. Kuna uvunjifu wa haki za binadamu mdogo mdogo
3. Waondoe akina Halima na wenzake bungeni. hawana uhalali wa Kikatiba na Kisheria kuwa pale na wewe unajua fika waliingiaje!
MWISHO:
4. . Alisema Mkuu wa majeshi kuwa wali ilinda katiba kilipotokea kifo cha Magufuli, nadhani unajua walimaanisha nini na unajua maana yake nini. (The message ni kwamba kulikuwa na watu wanataka kutoiheshimu Katiba....wakakataa kuwa lazima katiba iheshimiwe)
Jumapili njema tukasari lkwa Wakristo