Rais Samia Suluhu kuzindua chuo cha Jeshi Tanga 14/08/2022

benzemah

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
1,504
3,035
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Tanga, siku ya Jumapili Agosti 14 Mwaka huu.

Katika ziara yake mkoani Tanga Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuzindua Chuo cha Jeshi la uhamiaji cha Taifa pamoja na kufunga mafunzo ya askari 818 wa Jeshi la uhamiaji chuoni hapo.

Rais Samia anafanya ziara mkoani Tanga ikiwa ni siku moja tu tangu ahitimishe ziara ya siku Tisa katika mikoa mitatu tofauti nchini (Mbeya, Njombe na Iringa) kuanzia tarehe 5 hadi 13.

23.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara mkoani Tanga, siku ya Jumapili Agosti 14 Mwaka huu.

Katika ziara yake mkoani Tanga Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuzindua Chuo cha Jeshi la uhamiaji cha Taifa pamoja na kufunga mafunzo ya askari 818 wa Jeshi la uhamiaji chuoni hapo.

Rais Samia anafanya ziara mkoani Tanga ikiwa ni siku moja tu tangu ahitimishe ziara ya siku Tisa katika mikoa mitatu tofauti nchini (Mbeya, Njombe na Iringa) kuanzia tarehe 5 hadi 13.

View attachment 2323177
Rais Samia ni bandika banduka hakuna kupoa..

Bila shaka atashuhudia utiaji Saini wa mikataba ya Tarura ndio aende huko Tanga👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220813-183048.png
    Screenshot_20220813-183048.png
    187.8 KB · Views: 16
Very busy prezida,
Ila uhamiaji nao wapunguze majivuno hasa ukifika ofisini kwao, wanajiona kama wamemaliza kila kitu
 
Anaenda kukifuta chuo Cha TAKUKURU na kuwatangazia wanaosomea hapo wakawe Ma revenue collector kwenye halmashauri zote nachuo kitakuwa Cha marevenue wa halmashauri. Na TAKUKURU kinageuzwa kuwa kitengo Cha mapato kwenye halmashauri za wilaya kupunguza unokonoko , akiwapiga hao anaenda DRC , KONGO
 
Kuna wilaya ya Karagwe,Bukoba inaingiza wanyarwanda wengi sana na kujifanya wanyambo,huko wamehodhi ardhi kihuni na kujitangazia mamlaka kabisa.Mwaka 2017 Kuna mkuu wa wilaya Fulani simkumbuki Kwa jina ila alifukuzwa na kushambuliwa pamoja na kamati yake ya ulinzi na usalama ya wilaya walipoenda kufanya mkutano huko vijijini (Bushangalo) Jeshi la uhamiaji ni pa kupaangalia pia huko.
 
Back
Top Bottom