JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Vituo wanavyo amesema wanasubiri vibali toka nchi walizowapangia acha kupotosha vibali vikija wanaenda kwenye vituo vyao
..nilidhani utaratibu ni balozi kuapishwa baada ya nchi aliyopangiwa kutoa kibali.
..kuna mabalozi wakuu wa idara za wizara ya mambo ya nje hao wanaweza kuapishwa mara baada ya kuteuliwa.