Rais Samia Suluhu amesema vyombo vya habari ambavyo vilivyofungiwa vifunguliwe ila vifuate sheria.
Amesema mamlaka zinazohusika ziainishe kosa na kiwango cha adhabu kwa wale watakaokiuka sheria kanuni na taratibu za nchi katika kuendesha vyombo vyao vya habari na si kufungia tu kibabe.