Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) katika Ukumbi wa Kikwete - Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 09 Juni, 2023.
😅😂😆😄Huyu Mama shujaa sana.
Auze VyoteMama tuko pamoja.
La hasha, avikodishe ili viwe na tija.Auze Vyote
👀La hasha, avikodishe ili viwe na tija.
Mjoooomba😂🤣View attachment 2650939
Karibu Akhui
Ashe nalengView attachment 2650939
Karibu Akhui
Sultan Ahmed bin Sulayem karibu afriqiyaa Tanzani.😄Mjoooomba😂🤣
Jaza fomu za ajira online acha kukomaza shingo.Ashe naleng
Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) katika Ukumbi wa Kikwete - Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 09 Juni, 2023.
Samia had 2040, wagalatia hatuwapi tena nchi wauajiAnajifanya yupo busy na yanga kutafuta popularity tunamchora tu cjui alijichagua kwajil ya yanga. Sasa nasema Must go
Walituwachia Beyitul ajaib tukaifanya makazi ya popo.WARABU wataifanya ifanane na ya dubayi
Exactly,Unaagiza gari linayofolewa tachograph mara linayofolewa electronics.
Dp World watakomesha wezi Bandarini.