Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Achana nao hao ndugu yangu. Wengi wanaokota okota hoja mitaani na kuzileta huku. Wakati wa msiba wa JPM walisema ni amri kutoka msoga ndio iliyomuweka mama pale. Leo hii wanageuza kuwa sio msoga aliemuweka bali ni CDF. Sasa kwa haraka haraka utaona fika kuwa jamaa huandika chochote hata vile ambavyo hawana uhakika navyo. Ina maana hawajui hata katiba inasemaje kuhusu swala hili.
naomba tupingane kidogo hapo chief... Katiba ndio imemuweka Mama pale alipo.... Kazi ya Mabeyo na vijana ni kuilinda na kutetea katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania..