Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,926
Hata wewe na umri wako una akili changa kiasi hiki ?Mkuu Rapa Gentamycine , naunga mkono hoja, ila sababu yangu ni ili kuwatendea haki watu wenye majina kama hayo kushika nasafasi ya CDF. Tangu TPDF imeanzishwa, tumekuwa na ma CDF 8. Kati ya hao 8, kumetokea ni CDF mmoja tuu ndio mwenye majina ya kiashiria cha upande huo, huyu ni Generali Abdalah Twalipo. Hii ilipelekea mimi kuuliza swali hili,
Hivyo hakuna ubaya kumpata CDF wa pili wa upande huo, kuonyeshea mtu wa upande wowote anaweza kuwa CDF.Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali tuu, sio thread ya udini au ukabila. Je, kuna uhusiano wowote kati ya dini/kabila la mtu na ukakamavu ndani ya majeshi yetu nchini Tanzania? Je, kuna uhusiano wowote wa kati ya kabila la mtu na ukakamavu wa majeshini? Je, watu wa dini fulani au makabila fulani...www.jamiiforums.com
P
Siamini kama ni wewe.