Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ahaaaa, acha utoto unazeeka sasa.Endeleeni kutumia yale malori marefu. Treni ya mwendo kasi ni kwa ajili ya abiria na mizigo ya kawaida tu na siyo kwa ajili ya kusafirishia wanyama.
Tumewamulia sana kule Chato mlipotumia mikokoteni ya punda kuvuka kwenye zile taa za kuongozea vyombo vya moto. Tuseme tu inatosha.
Haivina msaadaRais Samia amehawakikishia watanzania kuwa miradi yote aliyoacha Hayati Rais Magufuli lazima itekelezwe na kumalizwa kwa sababu ni urithi wa watanzania na tukiitelekeza tutaambulia laana kutoka kwa Mungu na kutoka kwa aliyeanzisha hiyo miradi...
Subiri anogewe na cheo, dikteta naye alianza vizuri sn, bado hajapokea hata mshahara wa Rais ujueNaheshimu sana mawazo ya mama, atatufikosha salama, Mungu azidi kumpa maisha marefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uridhi mwingine ni chatoUrithi mwingine ni wabunge 19 wa Ufipa!
sorry kuuliza ? ukoo wake ndugu zake familia yake unawafaham?Profesa Assad ambaye hana impact hata kwenye ukoo wake alafu anapimana ubavu na mtu mwenye legacy ya 1000 ijayo.
Acha uongo Mama Samia anahitajika sana kanda ya ziwa kuliko jana, nyie mnajaribu kupenyeza fitna ili aonekane anapigwa vita kanda ya ziwa Mama Samia kwa kanda ya ziwa ni dada yetu na shangazi yetu, amefanya kazi na Mjomba wetu na kaka yetu. Mama Samia bado tuna jambo letu kwake, kwa miradi kibao ambayo inahitaji ufadhili wa serikali ya awamu ya sita.Hao Sukuma Gang vita yao ni kuipasua CCM ili Mama apate ugumu kukiongoza chama pindi atakapokabidhiwa uenyekiti,yaani wana ile falsafa ya bora tukose wote. Wao kazi yao ni kumpinga Mama tu wala hawana mpango na Chadema. Hili ni genge hatari sana chini ya Askofu Chidi.
Unavyomwaga sifa utazania umeahidiwa ubunge wa viti maalum. CCM ni ileile.Wamepoteana Kwanza
Maji Wataita Mmaa!!....
😁😀😅😄😆😃😂😁😀🕶👓Unavyomwaga sifa utazania umeahidiwa ubunge wa viti maalum. CCM ni ileile.
Muangalieni mtu mjinga huyu....Kuna watu watashangaa sana kwa kulisema hili, lakini sijakosea kusema hivyo! Nina maanisha
Sioni ulazima wa Mh Rais kubebeshwa mzigo ambao haku uasisi yeye, hata hayati Magufuli kuna miradi iliyoasisiwa na mtangulizi wake Mh Kikwete lakini yeye alivyoingia madarakani akaachana nayo, Yes tunatambua alikuwa Makamu wa Rais lakini siyo kweli kila alichopanga aliyekuwa Rais wa JMT hayati JPM basi Mama Samia nae aliridhia.
Mh Rais sasa ndio wakati wake wa kufanya lile analoliamini na kutambua lipo ndani ya uwezo wake ,
Watanzania watamkumbuka kwa yale atakayoyafanya na kuyakamilisha, Rais kuamua kuendeleza miradi mikubwa ambayo pengine hakuiridhia tunaweza kusema anajiingiza mtegoni pasipo kufaham kwani muda aliopewa kama Rais ni mchache sana na pengine asi accomplish hata asilimia 30% ya miradi aliyoiacha Magufuli.
Mh Rais chagua tena upya miradi michache uipe kipaumbele na ukiamini inatekelezeka katika mfumo wa makusanyo halali ya kodi,
Miradi mingi mtangulizi wako aliitekeleza kwa kodi nyingi za kubambikiza ambazo sasa wewe umeshasema wananchi wasibambikiziwe kodi, miradi mingi imetekelezwa kwa faini ya makosa ya uhujumu uchumi ambazo ni kesi zilizokuwa na chembe ya uonevu pia vilevile.
Miradi mingi aliyoiasisi mtangulizi wako haitegemei kodi halali za watanzania, inachochea deni la Taifa kupaa kila kukicha.
Narudia tena kukushauri Mh Rais fanya machache na wananchi watakukumbuka nayo;
Kwa mfano
1.Boresha Kilimo cha Mtanzania ikiwemo upatikanaji wa Maafisa ugani,Pembejeo za kilimo pamoja na masoko ya uhakika
2.Bima ya Afya kwa Kila Mtanzania, hili lipe uzito kamili
3.Utawala Bora wa Sheria na Uwajibikaji
4.Boresha miundombinu ya Hospitali kila mkoa, wilaya na kata
5.Boresha mazingira mazuri ya Kibiashara na Uwekezaji
6.Boresha huduma ya upatikanaji wa maji safi na salama
7.Imarisha Demokrasia nchini
8.Dhibiti mfumuko wa bei hasa bidhaa za vyakula na ujenzi
9.Suala la KATIBA lipe kipaumbele na historia itakukumbuka Mh Rais