JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Nimeona wabunge wakijadili either kuachana na Miradi ama Kuendelea nayo. Mkiachana nayo mjue tu 2025 mtarudi ikulu kwa njia ya kikomandoo na sio sanduku kura. Mrudi msirudi mimi sina shida.
Madhara ya kuacha mradi wa SGR.
1. Nchi kama Congo, Uganda, Burundi na Rwanda. Ni rasimi sasa zitahamia Mombasa Kenya. Maana hii reli ndio lango kuu la mizigo ya hizi nchi. Hivyo msicheze nao wekeni hapo pesa zote na taifa litainuliwa.
2. Pesa iliyokwisha wekezwa iatakufa kifo cha mende. Yaani ni Zaidi ya hasara.
Madhara ya Kuacha Umeme wa Rufiji.
1. Pesa iliyokwisha wekezwa iatakufa kifo cha mende. Yaani ni Zaidi ya hasara.
2. Itachukua mda mrefu sana kuja kupata tena umeme mwingi kama huu.
Uzuri PM ameshatoa maelekezo na maelezo kwamba umeme wa Rufiji utakamilika June 2022. Sina uhakika na SGR.
Yangu ni hayo tu.
Madhara ya kuacha mradi wa SGR.
1. Nchi kama Congo, Uganda, Burundi na Rwanda. Ni rasimi sasa zitahamia Mombasa Kenya. Maana hii reli ndio lango kuu la mizigo ya hizi nchi. Hivyo msicheze nao wekeni hapo pesa zote na taifa litainuliwa.
2. Pesa iliyokwisha wekezwa iatakufa kifo cha mende. Yaani ni Zaidi ya hasara.
Madhara ya Kuacha Umeme wa Rufiji.
1. Pesa iliyokwisha wekezwa iatakufa kifo cha mende. Yaani ni Zaidi ya hasara.
2. Itachukua mda mrefu sana kuja kupata tena umeme mwingi kama huu.
Uzuri PM ameshatoa maelekezo na maelezo kwamba umeme wa Rufiji utakamilika June 2022. Sina uhakika na SGR.
Yangu ni hayo tu.