Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,640
- 112,742
Miradi mingi kaizindua tu, mtoto wa mjini jk alikua kishaanza nayo.Alikua anajigamba pia kuwa daraja la kigambon kajenga yeye,Ili hali yeye kaenda kuzindua tuh
Miradi mingi kaizindua tu, mtoto wa mjini jk alikua kishaanza nayo.Alikua anajigamba pia kuwa daraja la kigambon kajenga yeye,Ili hali yeye kaenda kuzindua tuh
Sio kweli, busisi naweza sema limefika 50%, na Sasa hivi Kuna watu wanapita hapoNajaribu kutafakari jinsi ambavyo marehemu alivyojisifu kwa kujenga miundombinu mingi, hata ile aliyoikuta ipo mwishoni kukamilika yeye akamalizia asilimia 5% wapambe waliimba na kusifu kwamba kajenga yeye.
Sasa kuna miradi na yeye kaacha haijakamilika mingine ndo kwaanza ipo asilimia 0% kama daraja la busisi.
Ikikamilika tusifu na kuimba mapambio kwa mwendazake km kawa au?
Miradi mingi kaizindua tu, mtoto wa mjini jk alikua kishaanza nayo.
Rais Samia amehawakikishia watanzania kuwa miradi yote aliyoacha Hayati Rais Magufuli lazima itekelezwe na kumalizwa kwa sababu ni urithi wa watanzania na tukiitelekeza tutaambulia laana kutoka kwa Mungu na kutoka kwa aliyeanzisha hiyo miradi.
Rais Samia - Rais Dkt. John Magufuli ametuachia urithi, ametuachia miradi mikubwa miwili, na mwingine wa mkakati ipo, ule ni urithi, na wanasema ukifanya mchezo kwenye urithi Mungu anakulaani au yule aliyekuachia urithi hana radhi na wewe na Mungu hatukuwa na wewe
Bwawa la Nyerere, SGR ,Uwanja wa Msalato, daraja la Kigongo Busisi lazima ikamilike.
---
Hawa ndiyo ingizo jipya la Askofu Chidi ili kuja kumhujumu Mama, Sukuma Gang ni genge hatari sana.Vipi kuhusu nyinyi Mataga? Hakuahidi kuendelea kuyasikiliza yale mapambio yenu?
Hao Sukuma Gang vita yao ni kuipasua CCM ili Mama apate ugumu kukiongoza chama pindi atakapokabidhiwa uenyekiti,yaani wana ile falsafa ya bora tukose wote. Wao kazi yao ni kumpinga Mama tu wala hawana mpango na Chadema. Hili ni genge hatari sana chini ya Askofu Chidi.nyie pambaneni na hao chadema,siye tupo na mama suluhu.
Sisi tunachofurahia ni kuwa dhalimu is no more.
Hata ka picha?Daraja mbadala tayari soon wanalimaliza Jana nimepita busisi kwa gari
Hili daraja likikamilika sifa na utukufu apewe mama SamiaSio kweli, busisi naweza sema limefika 50%, na Sasa hivi Kuna watu wanapita hapo
Vyovyote vile Cha muhimu limetatua kero za miaka mingiHili daraja likikamilika sifa na utukufu apewe mama Samia
Itategemea na hali ya uchumi wa nchi. Tushibe kwanza ndipo tuangalie hiyo miradi. Ninaona yatakuwa ma-'white elephants".Rais Samia amehawakikishia watanzania kuwa miradi yote aliyoacha Hayati Rais Magufuli lazima itekelezwe na kumalizwa kwa sababu ni urithi wa watanzania na tukiitelekeza tutaambulia laana kutoka kwa Mungu na kutoka kwa aliyeanzisha hiyo miradi.
Rais Samia - Rais Dkt. John Magufuli ametuachia urithi, ametuachia miradi mikubwa miwili, na mwingine wa mkakati ipo, ule ni urithi, na wanasema ukifanya mchezo kwenye urithi Mungu anakulaani au yule aliyekuachia urithi hana radhi na wewe na Mungu hatukuwa na wewe
Bwawa la Nyerere, SGR ,Uwanja wa Msalato, daraja la Kigongo Busisi lazima ikamilike.
---
Miradi mingi itakwama tu kwa sababu "their financing sources are lamely planned". Uchumi wetu hauwezi kugharamia hiyo miradi 100% bila misaada kutoka nje. Kufanya hivyo ni kuua raia.Najaribu kutafakari jinsi ambavyo marehemu alivyojisifu kwa kujenga miundombinu mingi, hata ile aliyoikuta ipo mwishoni kukamilika yeye akamalizia asilimia 5% wapambe waliimba na kusifu kwamba kajenga yeye.
Sasa kuna miradi na yeye kaacha haijakamilika mingine ndo kwaanza ipo asilimia 0% kama daraja la busisi.
Ikikamilika tusifu na kuimba mapambio kwa mwendazake km kawa au?
Hilo ndio la MUHIMU....ninachotaka NI miradi ya maendeleo iishe na wananchi wawe na maisha Bora,sijali Nani ANAILETAVyovyote vile Cha muhimu limetatua kero za miaka mingi
Huna cha kuwafanya wasukuma hata kama huwapendi.Sasa mbona mnaipasua hiyo CCM? Ile kazi inayofanywa na lile genge linalotumia account ya Veronica France na Monica France kule FB unaona lina nia njema na chama kweli. Wasukuma mna roho mbaya sana.
Acha usisifu mkuu watz wanajua!Najaribu kutafakari jinsi ambavyo marehemu alivyojisifu kwa kujenga miundombinu mingi, hata ile aliyoikuta ipo mwishoni kukamilika yeye akamalizia asilimia 5% wapambe waliimba na kusifu kwamba kajenga yeye.
Sasa kuna miradi na yeye kaacha haijakamilika mingine ndo kwaanza ipo asilimia 0% kama daraja la busisi.
Ikikamilika tusifu na kuimba mapambio kwa mwendazake km kawa au?
Ni ngumu sana kuuwa legacy ya Magufuli na uzuri jamaa alikuwa anasema hadharani watanzania wanajua.Miradi ya Rais kikwete iliyoachwa na ikapuuzwa kuna mtu kapata laana kwani...