Dkt. Shoo: Kanisa litaendelea kutoa waraka

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.

Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Waovu na mafisadi lazima wakemewe
 
20230821_133253.jpg
 
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.

Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Duuh amesema hayo mbele ya Rais au?
 
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.

Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Sawa uzuri amesema Kanisa sio mshindani wa Serikali Bali ni mshirika
 
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.

Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
... tafsiri ya udini kwa mujibu wa CCM ni kukemea uchafu na ufisadi wao! Kwao hilo ni udini ila kuunga mkono juhudi ni perfect! Haya majitu haya!
 
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.

Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
JK amepewa haki yake
 
Back
Top Bottom