Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya KKKT jijini Arusha amesema kanisa litaendelea kukemea yale yote ambayo yapo kinyume.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.
Katika kufanya hivyo, kanisa lisihesabike kuwa linachanganya dini na siasa bali Serikali ione kuwa ni sehemu ya kujitafakari.