Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rais Samia amesema sababu nyingine ya kupangua wizara ni kwa sababu ya kutoelewana kati ya mawaziri na makatibu wakuu na manaibu waziri. Hali hiyo imeonesha kuwa kazi hazifanyiki.
Rais amesema hii ni mara ya mwisho kupangua kwa sababu ya kutokuelewana, wakati mwingine atawaondoa wote badala ya kuwapangua kama alivyofanya sasa.
Rais ameyasema hayo katika hotuba yake baada ya kuwaapisha wateule.
Rais amesema hii ni mara ya mwisho kupangua kwa sababu ya kutokuelewana, wakati mwingine atawaondoa wote badala ya kuwapangua kama alivyofanya sasa.
Rais ameyasema hayo katika hotuba yake baada ya kuwaapisha wateule.