Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Kweli nyie ni ng'ombe kabisa! Kwani Rais Samia akienda Kenya anaenda kama Rais wa CCM au Tanzania? Aklpewa heshima kule ni heshima ya Tanzania bali akidharauliwa (kama alivyokuwa anadharauliwa baba yenu) pia ni dharau kwa Tanzania.Mkuu kwa akili za kibavicha ni kwamba hiyo wanamkomoa marehemu.
Huyo marehemu wako alitufedhehesha sana katika mengi nje ya nchi