Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,585
- 25,670
Ripoti inapokelewa bila makamu inawezekana bado wanabishana huko sisi tunachukulia poa tu.
Ndio maana CAG huyo ni yule wa kumfurahisha meko enzi za uhai wake umesahau?Mauongo tena Mkuu?
Marehemu atapambwa sana, tusitegemee jipya kwenye hiyo ripoti
zitakuwa zimeeditiwa kidogo nini?Maana najua zitakuwa ziliandikwa kwa muktadha wa ki JPMWatanzania wanaenda kuona namna gani kodi zao zilivyotumika na kusimamiwa vema na serikali iliyopita
Huyu CAG alikuwa akiandika yale Jiwe ana penda. Hamna ripoti hapo. Tuna mtaka AsaadMhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.View attachment 1735972
Asad akirudishwa Ndugai inabidi achomoke.Huyu CAG alikuwa akiandika yale Jiwe ana penda. Hamna ripoti hapo. Tuna mtaka Asaad
Hii nchi ngumu sana mkuu, kuna wezi huko washafanya yao sasa tuwaache mpaka mwezi wa nne?Nisahihishe kama ntakosea kwan report ya CAG Huwa inajadiliwa mwezi wa nne au wa pili make bunge lijalo huwa ni la budget tu sasa nashangaaa kuona ndo anaipokea wakati ilitakiwa kupokelewa mwezi wa Pili kabla ya bunge kuanza la january to february.hii imekaaje wakuu? Au mama kaanza kutema cheche?kaziomba purposely kabisa?
Hiyo report ndiyo itamzika Magu mazimaMhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.View attachment 1735972
Hiyo report ndiyo itamzika Magu mazima
Ndo palikuwa pakupigia vijembe na muda mwingine wengine kupoteza ajira.
Tayari kigololi kimeshakushukaCHADEMA sijui wamepata hati ya kiwango gani!!
Yule ndo ishaisha hivoHivi hawawezi kumrudisha Prof Mussa Assad?