CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Mhe.Rais kesho kupokea ripoti ya CAG.
Mimi pia nitakuepo. Sijui mwenzangu SpeakerSawa. Tunasubiri.
Inategemea,wageni wengine wanaanza kukisifu tu hata kabla ya mume.Chakula akipika mkeo,mume ndio huwa wa kwanza kusema "ni kitamu" mbele ya wageni.
Ndo palikuwa pakupigia vijembe na muda mwingine wengine kupoteza ajira.Dah..
Masikini Magu.. RIP.
Yalikua maeneo yake ya kujidai hayaa..
Acha tu mkuu.... inasikitisha sanaDah..
Masikini Magu.. RIP.
Yalikua maeneo yake ya kujidai hayaa..
Sijui sasa hivi utamramba nani miguuCHADEMA sijui wamepata hati ya kiwango gani!!
Wewe bado unaramba miguu ya Halima James Mdee!Sijui sasa hivi utamramba nani miguu