hamada umelewa JF-Expert Member Dec 17, 2017 344 647 Aug 16, 2023 #21 Kabla hajamtoa huyo balozi atoke yeye kwanza.
R Rabbon JF-Expert Member Apr 16, 2022 15,557 23,344 Aug 16, 2023 #22 Bandari zetu ni URITHI wetu, hazitauzwa, kubinafsishwa Wala kugawiwa Bure Kwa wageni. Kununua bandari zetu ni sawa na kufunga NDOA na jini, utulivu ndani ya NDOA hautakuwepo!!! Kataa wahuni!!!
Bandari zetu ni URITHI wetu, hazitauzwa, kubinafsishwa Wala kugawiwa Bure Kwa wageni. Kununua bandari zetu ni sawa na kufunga NDOA na jini, utulivu ndani ya NDOA hautakuwepo!!! Kataa wahuni!!!