Kabisa!“Mama Tupishe”
Kabisa!“Mama Tupishe”
Ni lini kumefanyika uchaguzi tanzania?Yuko kikatiba uchaguzi rasmi ni 2025 watanzania wataamua if Wana Akili ama nchi "Ina watu wajinga sana"
Wewe mpuuzi tu! Unaonesha hasira zako kwa Magufuli badala ya kuusema ukweli wa Samia! Mara kichaa wa Chato! You are very stupid tunajadili report ya CAG wewe unajificha kwenye kichaka cha Magufuli huku bibi yenu nchi imemshinda mnaanza kumshauri ujinga!Yaa ni nimshauri tu mama kama vp ang'ang'anie madaraka mpaka 2030 ndicho anachoweza ale vizuri na mfumo wetu wa wizi mpaka akili zitakapotukaa sawa kwa mfumo huu hata akija malaika ni eitha hatoweza kuubadili au atakubali kufa kijinga kama lile jiwe la chattle. Wa kuubadili mfumo huu ni sisi wananchi wenyewe kwa kuamua kweli kweli na Wala sio raisi Wala kiumbe Gani. Katika taifa hili wezi na mafisadi Wana nguvu kuliko serikali raisi ni mwanasesere tu.
Uthibitisho kumfukuza kazi aliyefichua wizi wake, hakuna awamu iliyopiga trillion 1.5 ila hili jizi.Uthibitisho ni upi sio mnaongea vitu ambavyo havina substance
JPM jizi lililoanzisha kununua hiyo midege inayoifilisi serikali? Kama siyo JPM kuanzisha hiyo michuma ukatenda tusingefikia hali hii.Angekuwa hafurahii , asingeruhusu matumizi holela ya fedha za umma. Mara safari za nje za viongozi ni yeye anaidhinisha misafara, hafla nk. Unadhani fedha zingetoka wapi? Ndio maana JPM alizuia hayo!
Subiri kama utaona kuna mtu atachukuliwa hatua!
Wewe chawa tulia dawa ikuingie! Vipi Samia serkali yake hamna hela iloibiwa? Wewe umeshadadia JPM inaonesha huna hoja!JPM jizi lililoanzisha kununua hiyo midege inayoifilisi serikali? Kama siyo JPM kuanzisha hiyo michuma ukatenda tusingefikia hali hii.
Ulitaka tuendelee kutengwa na jumuia ya kimataifa kama alivyosababisha shetani JPM?
Ufisadi uliofanywa wa t1.5 nani aliwajibishwa zaidi ya CAG kulazimishwa kujiuzulu ili asiendelee kufumua madudu yake.Kuna kipindi mama alimpondea Magufuli kwa kusema mimi siwezi katukana mara simba wa Yuda mara nyinyi watu wazima!
Unipenda sifa ili uonekane mwema mwenzio mbaya matokeo ndo haya! Nae kaanza katukana huku maji yashazidi unga!
Tena nawaambie ufisadi wa CAG kichele ni mdogo sana!
Uzuri mimi siyo CCM. Ila nawajua wapuuzi wa CCM sukumagang na Msoga gang. Hivyo vita vyenu vya kipumbavu ni bora tukio nje ya upumbavu huu tuside na Msoga gang kwa maana hatuuliwi, hatushambuliwi, hatutekwi, hatuporwi pesa na task force na mapesa kupelekwa idhina.Wewe chawa tulia dawa ikuingie! Vipi Samia serkali yake hamna hela iloibiwa? Wewe umeshadadia JPM inaonesha huna hoja!
Nyinyi machawa wa Samia hamnaga akili badala ya kushauri ukweli uliopo mnaanza kuongea ujinga bila aibu!
Kama trilion 1.5 aliiba JPM kwa nini huu ufisadi wa sasa tusiseme aloiba ni Samia?
Kwa hiyo watu wasiseme ufisadi wa Serkali ya Samia kisa serkali ya JPM kulikuwa na ufisadi!?Ufisadi uliofanywa wa t1.5 nani aliwajibishwa zaidi ya CAG kulazimishwa kujiuzulu ili asiendelee kufumua madudu yake.
Ndio awamu iliyopora pesa nyingi za raia wake kupitia task force na upuuzi wa plea bargaining.
Awamu iliyokuwa na wasiojulikana na kutekwa kupotezwa kwa raia wanaopishana mtazamo na bwana yule ilikuwa ni kawaida.
Wizi wa kura ambao ni kawaida kwa CCM akaona haitoshi akapora mchakato mzima wa uchaguzi.
Leo mnatafuta ya kumlalamikia matope
Uzuri mimi siyo CCM. Ila nawajua wapuuzi wa CCM sukumagang na Msoga gang. Hivyo vita vyenu vya kipumbavu ni bora tukio nje ya upumbavu huu tuside na Msoga gang kwa maana hatuuliwi, hatushambuliwi, hatutekwi, hatuporwi pesa na task force na mapesa kupelekwa idhina.
Tuonyeshe mapesa yaliyopigwa na yeye akiwa mhusika kama jizi lile lililomfukuza kazi CAG kwa kuainisha wizi wake wa t1.5
Na wizi wa plea bargaining aliyoianzisha, JPM lilikuwa jizi kumtetea lazima uwe juha
Kwahiyo asipoyafurahia na kushindwa kuchukua hatua,Ulitaka mtoa post aseme nini?Jiangalie Mdomo usije ukaponza kichwa....wewe unadhani yeye anafurahia haya yanayofanyika?
Yule hajafukuzwa kazi ila muda wake wa kustaafu ulishafikaUthibitisho kumfukuza kazi aliyefichua wizi wake, hakuna awamu iliyopiga trillion 1.5 ila hili jizi.
Kwani uthibitisho huu si CAG? Na ule uthibitisho alikuwa ni CAG
Hahahahahaha MTF!Wanangu nikifika pale nitajifanya kama nawachamba msiogope
Yaan nchii ipooo hovyo hovyooo...mi tozo kila eneooo...halafuu Badoo Mambo magumuu tuuu...kumbee Kuna watuuu wanakulaa tuu pesaa za walipaa kodiii mustarehee...ifikee mahala watanzania tuachee mamboo ya uchamaaa na tuangaliee maslai mapana ya woteee...kwa sababu mwishoo wa siku ni sotee ndioo tunaisomaa nambaaa...Na hii thread isifutweee! Waacheni watanzania watoe nyongo zao. Na huo ndio mtazamo wa walio wengi.
Njooni huku niliko mfanye utafiti.
Watu wamechokaaaa!
Gharama za bidhaa ziko juu, tozo, makato ya kodi za majengo zaidi ya mara moja kwa madai ya kujisahau.
Mfumo unakosea? Au ni watu wanakula fedha za umma kimasikhara? Watu wanakonda kwa kuwaza maisha magumu wao wanasafiri kwa VIP!
Tatizo hujui hesabu.1.5 trillion baada ya bwana yule kupisha akampishishisha aliyemulika torch 1.5 trillion.
Yes tungeonaa hatuaa zimechukuliwaaangekuwa hafurahishwi angeshafanya maamuzi
Sio hulka ya Ris Samia kufanya maamuzi Kwa mihemko Ili kufurahisha genge.Tusichoshane!
Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.
Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito
“Mama Tupishe”
Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!
Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Maswali mazuri kbsaaa...colapse system...Mimi maswali yangu..Kwa kuwa ujambazi mwingi umefanyika halmashauri,swali je mawaziri wanaosimamia huko ni WA chama Gani ,wabunge huko ni wa chama Gani,madiwani huko ni wa chama Gani...Wakurugenzi wamiliki wa hela kwa mujibu wa katiba butu, ni wa chama Gani...."If you want to warn the hens not to go wandering on bushes, chase the Fox first " by Chinua Achebe from Mbaino village.
Sent from my E6810 using JamiiForums mobile app
Ndioo shidaa yetuu watanzaniaaa tumejaaa ujingaaa hata kwenyee hoja za msingi...watuu wanawazaa teuzi tuu waendeleee kupigaa pesaa...No wonder kila mtu anajidai mwanaccm ili tuu apatee teuzi...Nonsense kbsaaaWewe mpuuzi tu! Unaonesha hasira zako kwa Magufuli badala ya kuusema ukweli wa Samia! Mara kichaa wa Chato! You are very stupid tunajadili report ya CAG wewe unajificha kwenye kichaka cha Magufuli huku bibi yenu nchi imemshinda mnaanza kumshauri ujinga!
Hiyo mifumo unayozungumzia itajiendesha yenyewe?
Mfumo hata kama ni mzuri vipi bila watendaji ni zero!
Wewe kubali tu mama Samia hatoshi haswa usikimbilie ya Magufuli!
Hata Wenje jana kasema Magufuli alivyokuwa mtendaji na mfatiliaji wa mambo!
Wewe mpuuzi na majizi wenzako mnaanza kumshauri ujinga Rais!