Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Angekuwa hafurahii my dia, asingeruhusu matumizi holela ya fedha za umma. Mara safari za nje za viongozi ni yeye anaidhinisha misafara, hafla nk. Unadhani fedha zingetoka wapi? Ndio maana JPM alizuia hayo!

Subiri kama utaona kuna mtu atachukuliwa hatua!
😒😒😒Daaah
 
😒😒😒Daaah
Unajua haya mambo ni sawa na mama mjane akiachiwa Mali na mmewe akajifanya mjuaji na kuona alivyokuwa anafanya mumewe ili kuendesha miradi au biashara ni vibaya na kuanzisha njia zake mambo lazima yagome na Mali kupukutika lakini Mama mwerevu huchukua mazuri yote ya kiutendaji ya mumewe!
Ukiwa nje uataona mwenzako mjinga ila ukiingia wewe unaweza kushindwa pia!
 
Jiangalie Mdomo usije ukaponza kichwa....wewe unadhani yeye anafurahia haya yanayofanyika?
Kama hafurahii anasubiri nini? kujiweka katikati ya wapigaji kwann asiwawajibishe mbona anafanya teuzi kila siku kwani hawezi kutengua na kuwabana warudishe. Au ni raisi jina yupo kama sanamu la kuchonga halifanyi chochote? Kama ataweza muwajibisha mwana jf anaetoa mawazo yake humu basi awawajibishe na waizi wanaofuja hela za mikopo na kodi onevu zinazokusanywa na serikali yake.
 
Kama hafurahii anasubiri nini? kujiweka katikati ya wapigaji kwann asiwawajibishe mbona anafanya teuzi kila siku kwani hawezi kutengua na kuwabana warudishe. Au ni raisi jina yupo kama sanamu la kuchonga halifanyi chochote? Kama ataweza muwajibisha mwana jf anaetoa mawazo yake humu basi awawajibishe na waizi wanaofuja hela za mikopo na kodi onevu zinazokusanywa na serikali yake.
Sawa mkuu
 
Kilichomponza ni unafiki wa kujifanya mwema ill watu wamuone yeye wa maana kuliko Jpm! Mwache apambane na hali yake na hapo wanamdanganya agombee Urais 2025! Ili iweje sijui maana nachofanya hakijulikani ngoja liende!
Hapana hakujifanya ila ni asili yake ,namna ya uongozi huwezi kujifanya .Yeye ndoo asili yake hawezi kuwa kama Magufuli katika ukali ,udikteita na ukatili wa kuua kwa yeyote anaempinga.Mama anaamini anao wachagua watamuakilisha vyema ndoo maana anakuwa hivyo ,alafu ana hofu ya Mungu sana

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Unajua haya mambo ni sawa na mama mjane akiachiwa Mali na mmewe akajifanya mjuaji na kuona alivyokuwa anafanya mumewe ili kuendesha miradi au biashara ni vibaya na kuanzisha njia zake mambo lazima yagome na Mali kupukutika!
Ukiwa nje uataona mwenzako mjinga ila ukiingia wewe unaweza kushindwa pia!
Mambo yamekuwa magumu 😔😔
 
Angekuwa hafurahii , asingeruhusu matumizi holela ya fedha za umma. Mara safari za nje za viongozi ni yeye anaidhinisha misafara, hafla nk. Unadhani fedha zingetoka wapi? Ndio maana JPM alizuia hayo!

Subiri kama utaona kuna mtu atachukuliwa hatua!
JPM nani alimchukulia hatua ? Tueleze mahakama ya ufisadi ni kiongozi gani alifungwa?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Hiyo dawa ya wajinga lazima itakuwa inafuta hata hiyo akili kidogo uliyo nayo
 
Na hii thread isifutweee! Waacheni watanzania watoe nyongo zao. Na huo ndio mtazamo wa walio wengi.
Njooni huku niliko mfanye utafiti.
Watu wamechokaaaa!

Gharama za bidhaa ziko juu, tozo, makato ya kodi za majengo zaidi ya mara moja kwa madai ya kujisahau.
Mfumo unakosea? Au ni watu wanakula fedha za umma kimasikhara? Watu wanakonda kwa kuwaza maisha magumu wao wanasafiri kwa VIP!
Ni lini maisha yaliwahi kuwa marahisi

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Acha kukimbia petty issue za wanasiasa wanafiki! Mbona watu miaka yote wanakufa! Akina Dr Ulimboka,Mwandishi Mwangosi ,Askofu mstaafu wa Agalikani Mwanza,mauaji vituo vya polisi nk!
Nyinyi kinachowaponza ni unafiki na udini wenu akiwepo Mwislam hamkosoi kama Ndugu yako Zitto!
Hapana hakujifanya ila ni asili yake ,namna ya uongozi huwezi kujifanya .Yeye ndoo asili yake hawezi kuwa kama Magufuli katika ukali ,udikteita na ukatili wa kuua kwa yeyote anaempinga.Mama anaamini anao wachagua watamuakilisha vyema ndoo maana anakuwa hivyo ,alafu ana hofu ya Mungu sana

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Ni lini maisha yaliwahi kuwa marahisi

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
Ni kweli maisha ni kupambana. Cha muhimu hapo ni kuonesha ushirikiano toka serikali kuu kwa kubana matumizi, kuzuia ziara za nje zisizo na tija kwa taifa. Angalau inaonesha kujali.

Sasa wenzetu birthday marekani, kila kukicha wanabadili magari, posho za safari na bado wanasema uchumi unayumba! Hiyo ni danganya toto ili kuendelea kuwakandamiza wananchi wanyonge kwa kuwaongezea mzigo wa kodi na tozo ilihali wao serikali kuu wanakula bata kwa safari za ulaya!
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Ili aingie mamako? Shwain
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom