Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Unaakili sana mkuu mwiguilu alijua anamtetea mama kumbe ndo kamtumbukiza kwenye hayo makandokando
Ahsante sana Mkuu....
Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli.
Hakuna haja ya kulaumu kila kitu, au kutetea kila kitu kinachofanywa na viongozi wetu.
Pale panapohitaji sifa, tusifie bila kujali unampenda au humpendi.
Na panapohitajika kukosoa tufanye hivyo hivyo.
Tunachotaka ni maendeleo endelevu katika nchi yetu,
Ova.
 
Wewe mpuuzi tu! Unaonesha hasira zako kwa Magufuli badala ya kuusema ukweli wa Samia! Mara kichaa wa Chato! You are very stupid tunajadili report ya CAG wewe unajificha kwenye kichaka cha Magufuli huku bibi yenu nchi imemshinda mnaanza kumshauri ujinga!
Hiyo mifumo unayozungumzia itajiendesha yenyewe?
Mfumo hata kama ni mzuri vipi bila watendaji ni zero!
Wewe kubali tu mama Samia hatoshi haswa usikimbilie ya Magufuli!
Hata Wenje jana kasema Magufuli alivyokuwa mtendaji na mfatiliaji wa mambo!
Wewe mpuuzi na majizi wenzako mnaanza kumshauri ujinga Rais!
We ndo hutoshi .mama Samia yupo vizuri wenye akili tunaona mazuri anayoyafanya
 
Mama anafanya kazi nzuri sana, bigup kwake, angemongezea meno prime minister, mana usimamizi ni asili ya mwanaume.
Anafanya kazi nzuri kwa kuwaambia wateule wanaotafuna nchi yetu watupishe? Nadhani anatakiwa kufanya zaidi na tena asingoje November eti report ya CAG ijadiliwe na bunge kwanza.
 
Kama hujui eneo analofanya vzur basi we ni kiazi
Alifanya vizuri kuwaaminisha waTZ, kwa maneno, kuwa yeye ni mama yetu sote na hatakubali wachache kula keki ya wote peke yao. Sasa keki imeliwa sana na wachache tena wateule wake halafu anasema stupid watupishe, kanankwamba hawezi kuwaondoa. Tunahitaji katiba mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom