Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,807
- 4,687
Huwezi waskia wakiupin huu wizi wa sasa kwa mama...wanaona noma kumpimia mama kipimo kile kile walichompimia marehemu...wizi wote uliofanyika kipindi chake walisema ni wake...huu wa sasa sio tu kumpin nao mama hawawezi ht kuwapin wahusika wenyewe hawawezi...Unafiki tu unawasumbua..watafika jehanamu wamechoka sana.CAG alivyotoa ripoti yake ya 2020/2021 waliimba sana,ooh Jiwe alikuwa mwizi sana.Sasa ripoti ya 2021/2022 mambo hadharani, upigaji wa kasi 4G ulitamalaki chini ya Mama Maridhiano.
Mama yupo kimya kama hayupo!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TTCL wanadai Bilioni 21 ila hawajui wanamdai nani!