Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

CAG alivyotoa ripoti yake ya 2020/2021 waliimba sana,ooh Jiwe alikuwa mwizi sana.Sasa ripoti ya 2021/2022 mambo hadharani, upigaji wa kasi 4G ulitamalaki chini ya Mama Maridhiano.
Mama yupo kimya kama hayupo!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
TTCL wanadai Bilioni 21 ila hawajui wanamdai nani!
Huwezi waskia wakiupin huu wizi wa sasa kwa mama...wanaona noma kumpimia mama kipimo kile kile walichompimia marehemu...wizi wote uliofanyika kipindi chake walisema ni wake...huu wa sasa sio tu kumpin nao mama hawawezi ht kuwapin wahusika wenyewe hawawezi...Unafiki tu unawasumbua..watafika jehanamu wamechoka sana.
 
Narudia Tena mfumo huu wa ccm ni mgumu sana ni WA wezi hasa wa taifa letu Wana mizizi iliyokomaa haswa, ikiwezekana mama ungana nao kula na wewe maana mtalindana tu na pia tatizo sio mfumo tu tatizo ni watanzania wenyewe, wamejaa ujinga, uoga, unafiki, kujipendekeza na ujuaji PIGA PESA MAMA siku watanzania wakiwa na akili watajikomboa wenyewe. Wakati mwingine kuwapigania wajinga na waoga ni kuji risk mwenyewe. Angalia watanzania wenzetu wa upinzani walivyoumia kwa kuwapigania wajinga. MUNGU NA NATURE ndio vitabadilisha haya.
Nakupenda sana raisi wangu Tena ikiwezekana Kausha usiuseme wizi wao.
Ahsante
 
Akupishe aende wapi? Najua tunatofautiana Schools of Thought lakini, hebu tujiulize kidogo; hivi ni nani karuhusu ukaguzi huru wa CAG kama si Mhe. Rais? Je, Mhe. Rais angeamua kumwelekeza CAG ya kuandika na mengine ayaache sisi raia wa kawaida tungejuaje? Tatu, kama ni Mhe. Rais karuhusu uwazi katika uongozi why tunatiliashaka jambo alilolibariki mchakato wake?

Hebu tumpe muda Mhe. Rais na Serikali. Tunataka watu wakipelekwa mahakamani kuwe na ushahidi usio na shaka ili wafungwe na iwe fundisho. [emoji120][emoji120][emoji120]
Nakuunga mkono asilimia [emoji817] mama SI mjinga
 
Usitutishe
Mwanamke hana uwezo wa kuongoza nchi na imedhihirika kupitia huyu mama hawezi chochote hafai kuwa rais
Hana maamuzi wakati yeye ndiyo muamuzi top
Anaongea kama mkuu wa wilaya vile
Kauli zake zinashangaza sana
Na zinaonyesha kwamba hawezi chochote



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sukuma gang pumbavu sana wewe
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Tofauti kubwa mama ni msanii tu kama kawaida ya waswahili. Mwendazake alikua anatumbua mtu yeye anaomba wampishe. Sasa wasipompisha inakuaje?🤣
Leo ya ngapi tangu awaombe kumpisha wajameni. Asifikiri tumesahau. Tunasubiria kuona kama tuko kituoni tunangojea daladala.😆😃
 
Ana mamlaka kamili ya kuwajibisha hao unaosema wanamnyima furaha
Kwanini hawawajibishi maana yake ni kwamba
Urais ni mkubwa kwake hauwezi


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wa kurekebisha haya maujinga ni wananchi wenyewe sio raisi aliyewekwa au kubarikiwa na huo huo mfumo wa majambazi unataka na mama kwa upekee wake na moyo wake wa kiungwana ajifanye mjuaji wa kushindana na mfumo wa wezi ulio muweka hapo Ili apotezwe kama lile kichaa la chato? Tena mama kama inakufaa usiwachukulie hatua yeyote hao wezi na mafisadi Ili watanzania waendelee kujionea ubovu wa mfumo unaotutawala
 
Na kibaya zaidi anajua kwamba hana hata robo ya uwezo wa kuwa rais na wananchi hawampendi katu lakini kang'ang'ania madaraka kama ruba na ngozi ama chawa na uchafu
Yaa ni nimshauri tu mama kama vp ang'ang'anie madaraka mpaka 2030 ndicho anachoweza ale vizuri na mfumo wetu wa wizi mpaka akili zitakapotukaa sawa kwa mfumo huu hata akija malaika ni eitha hatoweza kuubadili au atakubali kufa kijinga kama lile jiwe la chattle. Wa kuubadili mfumo huu ni sisi wananchi wenyewe kwa kuamua kweli kweli na Wala sio raisi Wala kiumbe Gani. Katika taifa hili wezi na mafisadi Wana nguvu kuliko serikali raisi ni mwanasesere tu.
 
Atupishe aje Nani nyie wasukuma genge?

Embu mwacheni mm achape kazi, nchi ilikuwa haauchi kunakucha mabalaa kila Kona,

Huyu kaokotwa kwenye kiroba, yule kapigwa risasi, Mara kabambikiwa kesi, kanyongwa, katobolewa macho, kadhulumiwa, sijui korosho, bureau de change yaani tafrani ilikuwa kila Kona

Ss hv hali shwaarrr halafu mnasema atupishe aje nani ss

Tuacheni tupumue jamani aagghh[emoji3061]
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Mimi maswali yangu..Kwa kuwa ujambazi mwingi umefanyika halmashauri,swali je mawaziri wanaosimamia huko ni WA chama Gani ,wabunge huko ni wa chama Gani,madiwani huko ni wa chama Gani...Wakurugenzi wamiliki wa hela kwa mujibu wa katiba butu, ni wa chama Gani...."If you want to warn the hens not to go wandering on bushes, chase the Fox first " by Chinua Achebe from Mbaino village.

Sent from my E6810 using JamiiForums mobile app
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Aise umemuelewa vibaya mh Rais Dr Samia alisema anashangazwa na over invoice iliyoletwa na siyo tayar pesa zilikwenda huko

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mama ACHA wakuone kama hufai lkn ukweli ni kwamba your the best ever ,umeliponya taifa huu wizi ni asili ya chama chako ukipingana nao sana utapotea wewe kula na vipofu lkn jitahidi sana usituache bila katiba Mpya utatusaidia sana watanzania, umezungukwa na wezi tupu amini hilo.
Kauli hizi ndiyo anazinzia kidogo watu wanapiga...

Alishasema hapa alali, je siku akilala si wapigaji watapiga hadi magogoni?
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Wanaofaidi udhaifu wake weanzisha kampeni nchi nzima ya kumpongeza. Wako bungeni, media karibu zote na mitaani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom