Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,040
- 2,009
Ndugu zako wakristo tunaohuku mitaani na majumbani kwetu wanakili kuwa uongozi wa waislam huwa raha tupu,lakini uongozi wa wakristo kuanzia Nyerere hadi JPM ni udkteita mtupu ,roho mbaya na kuuana.Acha kukimbia petty issue za wanasiasa wanafiki! Mbona watu miaka yote wanakufa! Akina Dr Ulimboka,Mwandishi Mwangosi ,Askofu mstaafu wa Agalikani Mwanza,mauaji vituo vya polisi nk!
Nyinyi kinachowaponza ni unafiki na udini wenu akiwepo Mwislam hamkosoi kama Ndugu yako Zitto!
Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app