Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Suleiman mchawi WA Rhymes

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2022
Posts
405
Reaction score
1,012
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
 
Kilichomponza ni unafiki wa kujifanya mwema ill watu wamuone yeye wa maana kuliko Jpm! Mwache apambane na hali yake na hapo wanamdanganya agombee Urais 2025! Ili iweje sijui maana nachofanya hakijulikani ngoja liende!
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito


“Mama Tupishe”

na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa;
kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!




nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito


“Mama Tupishe”

na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa;
kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!




nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Hatujakutuma. Jisemee mwenyewe. Mimi naona anachapa kazi. Wewe hijatumwa uwasemee watu, jisemee mwenyewe.
 
Tusichoshane!

Since hakuna aliyepisha tangu kauli ya yule mama kuwa walioiba mboga jikoni wasepe.

Siyo siri tena wewe mama ndo utupishe, naamini huwa unapita hapa JF na unasoma baadhi ya nyuzi humu ndani, am confident that utakuna na huu uzi wangu mfupi ila wenye ujumbe mzito

“Mama Tupishe”

Na kama ukikataa kuondoka tambua kuwa heshima yako itapotea na utaandika historia kuwa; kiongozi wa kwanza kuachiwa nchi wa jinsia nyingine na wizi mkubwa kuwahi kutokea tangu misingi ya kuumbwa kwa DANGANYIKA KANTRI!!

Nshomile
UALIMU NI BARAKA, TUUKUBALI NA KUUTHAMINI
Hama nchi dada
 
Jiangalie Mdomo usije ukaponza kichwa....wewe unadhani yeye anafurahia haya yanayofanyika?
Angekuwa hafurahii , asingeruhusu matumizi holela ya fedha za umma. Mara safari za nje za viongozi ni yeye anaidhinisha misafara, hafla nk. Unadhani fedha zingetoka wapi? Ndio maana JPM alizuia hayo!

Subiri kama utaona kuna mtu atachukuliwa hatua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom