Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Rais Samia kiukweli wewe ndio utupishe ung'atuke

Usitutishe
Mwanamke hana uwezo wa kuongoza nchi na imedhihirika kupitia huyu mama hawezi chochote hafai kuwa rais
Hana maamuzi wakati yeye ndiyo muamuzi top
Anaongea kama mkuu wa wilaya vile
Kauli zake zinashangaza sana
Na zinaonyesha kwamba hawezi chochote



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Anajua bado yeye ni secretary
 
Mama ACHA wakuone kama hufai lkn ukweli ni kwamba your the best ever ,umeliponya taifa huu wizi ni asili ya chama chako ukipingana nao sana utapotea wewe kula na vipofu lkn jitahidi sana usituache bila katiba Mpya utatusaidia sana watanzania, umezungukwa na wezi tupu amini hilo.
Ukiona mtu anamsifia mama kama ww kuna mahala umedumbukiza mrija
 
Jiangalie Mdomo usije ukaponza kichwa....wewe unadhani yeye anafurahia haya yanayofanyika?
Ebu acha ujinga na wewe, wewe unadhani Samia ana uchungu wa matumizi mabaya ya pesa za umma?

Akiwa aktia na tule tu maneno twake twa english basi mnahisi mna Rais wa kuwaogofya mafisadi. Aiseeh mtaliwa sana na sana hadi akili ziwakae sawa.
 
Ebu acha ujinga na wewe, wewe unadhani Samia ana uchungu wa matumizi mabaya ya pesa za umma?

Akiwa aktia na tule tu maneno twake twa english basi mnahisi mna Rais wa kuwaogofya mafisadi. Aiseeh mtaliwa sana na sana hadi akili ziwakae sawa.
Sawa mkuu
 
Ebu acha ujinga na wewe, wewe unadhani Samia ana uchungu wa matumizi mabaya ya pesa za umma?

Akiwa aktia na tule tu maneno twake twa english basi mnahisi mna Rais wa kuwaogofya mafisadi. Aiseeh mtaliwa sana na sana hadi akili ziwakae sawa.
Hana uchungu mwenye uchungu yule aliyepiga trillion 1.5 halafu CAG kusema hazina maelezo akamtimua na kazi badala ya kufanyia kazi
 
Kama hujui eneo analofanya vzur basi we ni kiazi
sabab anasema tulikuwa pabaya basi ilibidi afanye zaid ya aliyekuwa kiongoz kipind tupo pabaya badala yake rushwa imekithiri , uonevu umekithiri , watu hawapo responsible kweny ofisi zao
 
Hiyo midege muasisi wake ni nani acha tuanzie huko huko maana hakukuwa na nafasi kama hii ya kujadili mambo yake.
kwahiyo hakupaswa kufungua njia kwenye upande wa anga , Kuna muda nahisi tupo na zinjanthropus humu maana huez mlaumu Nyerere kupigania uhuru wetu wa kisiasa eti kisa leo ccm ina act kama mkolon , kila maamuz yanaeza kuja kukosewa baadae so huez acha njia ya mafanikio kisa vikwazo vyake , HUEZ KUWA NA MAENDELEO KAMA NJIA ZAKO ZA UCHUKUZ SIO BORA YAAN BADO WEWE NI TEGEMEZ KWA TAASIS ZA NJE , JPM MNAMCHUKIA LABDA KWAVILE ALIGUSA MAISHA YAKO ILA TAMBUA KOSA NI LAKO , HUEZ KUTOKUWA NA VYETI HALAFU UNANG'ANG'ANIA OFISI , UNA BIASHARA HALAF HUTAK KULIPA KODI
 
kwahiyo hakupaswa kufungua njia kwenye upande wa anga , Kuna muda nahisi tupo na zinjanthropus humu maana huez mlaumu Nyerere kupigania uhuru wetu wa kisiasa eti kisa leo ccm ina act kama mkolon , kila maamuz yanaeza kuja kukosewa baadae so huez acha njia ya mafanikio kisa vikwazo vyake , HUEZ KUWA NA MAENDELEO KAMA NJIA ZAKO ZA UCHUKUZ SIO BORA YAAN BADO WEWE NI TEGEMEZ KWA TAASIS ZA NJE , JPM MNAMCHUKIA LABDA KWAVILE ALIGUSA MAISHA YAKO ILA TAMBUA KOSA NI LAKO , HUEZ KUTOKUWA NA VYETI HALAFU UNANG'ANG'ANIA OFISI , UNA BIASHARA HALAF HUTAK KULIPA KODI
Ndio upeleke Vote 10 manunuzi eti?
 
Ndio upeleke Vote 10 manunuzi eti?
huez endelea kwa akili kama zako tuna safari ya mtu kuja kututoa uzinjanthropus huu , chuki inatutia ukipofu kwenye maswala muhimu
 
huez endelea kwa akili kama zako tuna safari ya mtu kuja kututoa uzinjanthropus huu , chuki inatutia ukipofu kwenye maswala muhimu
Hakufanya vibaya ila mnapomsema Mama na nyie mvumilie ngumi za pua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom